“ Wananchi wakiamua kufanya kitu katika nchi yao kwa asilimia 100 serikali, na taasisi zake zote, haitaweza kuwazuia. Kwa sababu, mamlaka ya wananchi hushinda ya serikali.
Nchi inadanganywa mchana kweupe na inaweza kuingia hasara ya mabilioni, Kilichotokea kwa Bakhresa miaka ya 95+ kinaweza kujitokeza kwa Manji, Hizi kesi za kitoto zenye malengo ya kufurahisha watawala tumeshashuhudia zikiliumiza taifa, Ipo wapi NMC yetu ya Tazara? Ipo wapi kesi ya samaki wa...
Na
Cosmasy Choga
Binadamu huzaliwa na kupitia hatua zaukuaji na hawezi zikwepa,kwanza ni kutambaa na pili ni kusimamia vitu ndipo sasa hutembea kidogokidogo.
Ndivyo ilivyo katika shule, hakuna mwanafunzi anayeibukia tu Kuwa darasa la saba kwanza awali na baadae la kwanza na ndiko hupata...
Na
Cosmasy Choga
WENGER:Mashabiki wawe kama wa timu nyingine.
Ikiwa ni siku chache kupita toka mashabiki wa Arsenal wabebe mabango yenye ujumbe wa kutaka kocha wa timu hiyo aachie wengine waifundishe Wenger mwenyewe leo amewajibu kwa kusema wanatakiwa wawe Kama mashabiki wa timu nyingine...
Na
Cosmasy Choga
Siku moja baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kutaja orodha ya watu wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya akiwemo mwenyekiti wa yanga Yusuph Manji mashabiki wa club hiyo tayari wameaza kuwasili kituo cha polisi kujua hatima ya kiongozi wao...
Na
Cosmasy Choga
Ukiwa shuleni utajifunza mambo ya lensi mbinuko na mbonyeo na kila moja hufanya kazi yake mbinuko kufanya uone mbali wakati mbonyeo kufanya uone Karibu,anyway Soka nalo ni kama sayansi vile unapaswa kuyajua hayo kabla ya na baada ya.
Vipaji vingi vya soka vinaibuka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.