kwani Tanzania kuna wasomi? kuna wakiritimba. kuna mijitu ambayo yenyewe ili uwe na akili lazima uwe na cheti sio ufahamu wako. hii mijitu ndiyo ilileta sera ya kumpunguzia maksi mtoto aliyerudia mtihani kana kwamba kukata rufaa ya kufeli ni dhambi. hii mijitu yaani haiwazi hata moja jumlisha...
Magamba bwana! Hata hayajishangai! Yenyewe yanafikiria kama kijiko cha cha chai huwa hakifikiri kwamba kuna beleshi! Zito dume la mbegu hebu njoo hapa leta taarifa ili hawa walioliwa wake zao na mwigulu watulie.
Tuukubali ukweli. still Dr. Slaa atakuwa candidate wetu 2015. Mimi sio muumini wa democracy AFRICA. Sihitaji democracy kumteua Dr. Slaa. tunamuhitaji kumlinda kwa hali na mali. MIMI MWENYEWE NILISONONEKA SANA NILIPOSIKIA KWAMBA ATAGOMBEA UBUNGE ARUMERU! AHSANTE SANA KWA TAARIFA. MTAANI TULIKUWA...
tunaangalia 24 series season one.
epsode 1. nyerere anawakataa
epsode 2. nyerere anaondoka mzima lakini anarudi marehemu (sterling machale yanamcheza0
epsode 3. waliokataliwa ndio wanaotuongoza sasa (conspiracy?)
epsode 4. tukiwapinga bone marrows hazifanyi kazi na matokeo ya ugonjwa wetu...
tunakosea sana na hii sio sawa! tumeanza kushambulia hata hajajibi swali la pili tayari yameshakua maswali kumi na tatu! siamini kama nape atakaa tena tutaishia na hilo moja tu. tuache unazi bana!
1. Hivi ni kwa nini watoto wanaorudia mtihani ni lazima wakatwe alama? kwani kama jana sikuelewa ni dhambi kuelewa mwaka huu? kwani lengo la elimu si ni kuelewa? au kuna lengo jingine?
2. kila unapotaka kuingia chuo wanataka cheti cha nyuma. Hivi kama mwaka juzi nilifeli halafu nikakaa nikaamua...
Watu wengi wameshabikia na kusmile! lakini wengi wamesahau kwamba jamii yetu sio wawazi sana kwenye mambo hayo na jamii yetu inategemea ujijulie mwenyewe mbele ya safari! Mimba nyingi za utotoni hutokea kutokana na kutaka kujaribu bila kuwa na taarifa sahihi! Mimi nilipopata "WET DREAM" kwa mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.