Zitto Kabwe ashindwa kutokea mkutanoni

Zitto Kabwe ashindwa kutokea mkutanoni

Great thinkers wangesubiri kusikia maelezo ya mh.Zitto kabla ya kumhukumu!!lakini watu wenye vichwa vya panzi wanajump into conclision. No reserch no data! No data no right to talk!! Acheni kutoa michango ya kidaku hapa JF,.
 
Mkutano tu wa kukijenga chama ni hivyo, jee ukiwapa nchi si ndio itakuwa "chaos". Mungu iweke CCM yetu.

Inawezekana mkutano haukuwa rasmi, au zitto alipata taarifa za kiintelijensia.
 
ukweli imekera watu wengi. Angalau viongozi wa wilaya ungeendelea na mkutano hata bila ya mh kutofika. Hapa watu wengi wanaisubiri chadema kwa hamu kubwa hasa baada ya cuf kuyumba. Hii ilikua ngome ya doyo aliyefukuzwa cuf, n umakini wa chadema ndo uta determine mavuno ya mamia ya wanachama wapya

mwenyewe unawajua dada zako, wanakaba hadi penalt, nguo zote zinawekwa kwenye maji hata kama sio chafu. Unategemea nini hapo?
 
wawaulize nini tayari ilisha kula hiyo

ingekula kwao kama wangeletwa na malori kama mnavyowasomba nyie m.a.g.am.ba,lakini kwa vile walisogea hapo wenyewe bila kulazimishwa nina imani atakapofika watasogea tena siku nyingine.msalimie nape.
 
Magamba bwana! Hata hayajishangai! Yenyewe yanafikiria kama kijiko cha cha chai huwa hakifikiri kwamba kuna beleshi! Zito dume la mbegu hebu njoo hapa leta taarifa ili hawa walioliwa wake zao na mwigulu watulie.
 
Wakuu leo Mh Zito Kabwe ilikuwa ahutubie mkutano wa hadhara hapa wilayani Handeni. Lakini mamia ya wananchi waliojitokeza wamejikuta wakisubiri kwa muda mrefu bila mafanikio na hata viongozi wa CHADEMA wilayani hapa wameshindwa kuhutubia mkutano huo na kuwafanya wananchi kujiondokea bila kujua ni kitu gani kimetokea.

Neugu yangu naweza kukuamini kwa maelezo hayo,lakini siyo Zito bali ni viongozi wanaoratibu msafara wake ambao kwa mawazo yangu wanaonekana hawajui kabisa kufanya systematic political analysis,halafu watabaki oh tanga ni CCM! Kumbe hawajui kuratibu mambo.yetu macho na asikio.
 
Mkutano tu wa kukijenga chama ni hivyo, jee ukiwapa nchi si ndio itakuwa "chaos". Mungu iweke CCM yetu.
Hapo kwenye nyekundu inaonyesha jinsi akili yako ilivyo na hitilafu!
 
Mkutano tu wa kukijenga chama ni hivyo, jee ukiwapa nchi si ndio itakuwa "chaos". Mungu iweke CCM yetu.
Hata bila vifaa vya kisayansi vya kukutolea damu au utra sound tayari ushaonekana akili yako ina kwashakoo
 
Zito ni mjanja, magamba na kafu wali ungana wakatega majini uwanjani ya kumwakwembe, baada ya kupata taarifa za kiintelijensia jamaa akasepa. Big up Zito hayo mapepo yatawadai ushuru wa damu waliyoyatuma-subiri mtasikia!
 
Mkutano tu wa kukijenga chama ni hivyo, jee ukiwapa nchi si ndio itakuwa "chaos". Mungu iweke CCM yetu.

Acha kuzusha mkuu kwani zitto hawezi kukosa kwa sababu ambayo iko nje ya uwezo wake? Mara ngapi JK ameahirisha vikao muhimu au mikutano muhimu kuliko hiyo ya Tanga?
 
Back
Top Bottom