Nashukuru sana kaka nape kwamba uko humu jf na unachangia.naomba unijibu maswali haya ili niweze kurudisha iman kwa ccm na kuendelea kuitaman tz
1.ni kwa namna gani ccm haihusiani na ufisadi?
2.kama siyo chama cha mafisadi mbona mafisadi wengi ni ccm?
3.je ccm inastahili kuendelea kuaminiwa na wananchi?kwa muda wote hadi nchi ikafika hapa ccm haikuwepo?
4.ccm inahusika vp na maisha magumu ya watz?
5.ccm inaongozwa na viongozi wengi wasiokuwa na elimu ya kutosha mf kept.komba,w. Lukuvi,pr.majimarefu et al.ndo maana wanaiyumbisha tz hivi.unalionaje hili?
6.nikisema ccm(serikali)inaongozwa na chdm nitakosea?ref.mchakato wa katiba mpya,ishu ya ufisadi
7.viongozi wa ccm(serikali)hawako makini kiutendaji!ref kupishana kwa taarifa juu ya posho za wabunge(kashilila vs makinda,ikulu vs pinda et al),pinda kutoa order ya kuwafukuza madaktari hatimaye kufail etc.
8.nyienyie ccm na mawaziri kutumia magari ya serikali kwenye shughuli za chama hamuoni kama kuhujumu uchumi?
9.unaipenda ccm kutoka moyoni?malengo yako hayawezi kutimia ukiwa nje ya ccm?huoni kama unahujumiwa na kudumazwa akili ndani ya ccm?
10.unanishauri kuwa mwanachama wa chama gan kat y ccm na chdm?
11.ile taarifa kuhusiana na machinga complex iliysomwa kwa jk pale mwanza kweny madhmisho ya miaka 35 ya ccm ikitaarifu juu ya wamachinga kurudi ccm aliiandaa nani?hela zilizotumika kuwalipa wale jamaa walioandaa alizitoa nani?ni kwa nini unamdanganya hata mh.jk?je ile taarifa ni ya kweli?
SAMAHANI KWA MASWALI MAREFU!NAJUA YATANIFANYA NIKUFAHAMU VYEMA NA KUONGEZA UELEWA WANGU JUU YA CCM.KAMA KUNA MWANA CCM ANAWEZA CHANGIA PIA
NB:MOD P/SE USIIFUTE HII THREAD NA JAZBA ZIEPUKWE TOKA KWA WACHANGIAJI!
Nitashukuru sana kwa majibu yako(yenu)
0716689250
1.ni kwa namna gani ccm haihusiani na ufisadi?
2.kama siyo chama cha mafisadi mbona mafisadi wengi ni ccm?
3.je ccm inastahili kuendelea kuaminiwa na wananchi?kwa muda wote hadi nchi ikafika hapa ccm haikuwepo?
4.ccm inahusika vp na maisha magumu ya watz?
5.ccm inaongozwa na viongozi wengi wasiokuwa na elimu ya kutosha mf kept.komba,w. Lukuvi,pr.majimarefu et al.ndo maana wanaiyumbisha tz hivi.unalionaje hili?
6.nikisema ccm(serikali)inaongozwa na chdm nitakosea?ref.mchakato wa katiba mpya,ishu ya ufisadi
7.viongozi wa ccm(serikali)hawako makini kiutendaji!ref kupishana kwa taarifa juu ya posho za wabunge(kashilila vs makinda,ikulu vs pinda et al),pinda kutoa order ya kuwafukuza madaktari hatimaye kufail etc.
8.nyienyie ccm na mawaziri kutumia magari ya serikali kwenye shughuli za chama hamuoni kama kuhujumu uchumi?
9.unaipenda ccm kutoka moyoni?malengo yako hayawezi kutimia ukiwa nje ya ccm?huoni kama unahujumiwa na kudumazwa akili ndani ya ccm?
10.unanishauri kuwa mwanachama wa chama gan kat y ccm na chdm?
11.ile taarifa kuhusiana na machinga complex iliysomwa kwa jk pale mwanza kweny madhmisho ya miaka 35 ya ccm ikitaarifu juu ya wamachinga kurudi ccm aliiandaa nani?hela zilizotumika kuwalipa wale jamaa walioandaa alizitoa nani?ni kwa nini unamdanganya hata mh.jk?je ile taarifa ni ya kweli?
SAMAHANI KWA MASWALI MAREFU!NAJUA YATANIFANYA NIKUFAHAMU VYEMA NA KUONGEZA UELEWA WANGU JUU YA CCM.KAMA KUNA MWANA CCM ANAWEZA CHANGIA PIA
NB:MOD P/SE USIIFUTE HII THREAD NA JAZBA ZIEPUKWE TOKA KWA WACHANGIAJI!
Nitashukuru sana kwa majibu yako(yenu)
0716689250