Mtoa mada naona anataka kuturudisha mwaka 1992 ambapo hata kwenda kenya au uganda lazima uwe na visa, jiulize kwa nini SADC na EAC tumefika mahala tukaondoa visa???? Lengo ni kurahisisha movement ya wananchi wetu.
Kwa hiyo form kuwa simple ni njia moja wapo ya kurahisisha mambo....
Kwa hiyo form kuwa simple ni njia moja wapo ya kurahisisha mambo....