Recent content by CHINJA

  1. CHINJA

    Kashfa: Tigopesa wanadhulumu hela za wateja?

    Kuna mtu alishatumiwa kimakosa, kupigiwa simu akasema anamdai mtumaji, ndo ikawa imekula kwa yule mtumaji
  2. CHINJA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazee wa kubet, ni App gani nzuri kwa online betting? Nipo tz na ninatumia line ya tigo na voda
  3. CHINJA

    Huyu Pogba wetu ni hasara tu

    Hayo mambo ya kichuya, Pogba hana kiwango hicho.. Japo nasikia alienda kwa "Vardy" yule tolu wa ile timu ndogo iliyopanda daraja kwa kasi na kubeba "ndoo" hapo jirani kuchukua maujuzi, sasa sijui kama anatumia mbinu alizopewa ipasavyo? Au kwa kuwa timu yetu ya manyuu ni kongwe sana...
  4. CHINJA

    Kabla ya kuzaliwa na baada ya kufa, sisi wanadamu tunakuwa wapi? (Education is power)

    Pesandogo, akili ndogo.. Naona kila hoja, anaachiwa ashinde yeye.. Lazima ashinde!
  5. CHINJA

    Msaada: Hoja ya kuoa wake wawili au zaidi

    Suala la kuwa na mke/mwenza zaidi ya mmoja kwa wanaume, inategemea na uwezo wa mtu.. Naomba ieleweke vizuri ninaposema uwezo, Hivyo pengine hiyo ruhusa waliyojipa au kupewa hao mabwana ni kwa kutegemea uwezo wao wa kuwahudumia hao wanawake.. Kuoa au kuwa na mwenza usiyeweza kuwahudumia, ni...
  6. CHINJA

    Kabla ya kuzaliwa na baada ya kufa, sisi wanadamu tunakuwa wapi? (Education is power)

    Shukrani kwa aliyeweka hii thread, I knew about meditation before, the rest most of them ndo nimevisikia kwako.. Na mimi nina maswali mengi yameibuka, but I think I need to read or view the videos from the recommended source.. Then, may be I will get back to you
  7. CHINJA

    Kabla ya kuzaliwa na baada ya kufa, sisi wanadamu tunakuwa wapi? (Education is power)

    Thread nzuri, Hapa naona tofauti ya "open minds" na "rigid minds" Scientists are there to question, does it make them non believer??
  8. CHINJA

    Afande Sele (Seleman Msindi) ajiengua CHADEMA na kujiunga na ACT

    Sorry guys, Kwani Sele alikua na wadhifa gani CDM? Au alikua na "impact" gani katika CDM??
  9. CHINJA

    Bank ipi ipo vizuri mikopo?

    Itabidi niende huko na mimi, Alex utanisaidia katika hilo
  10. CHINJA

    Bank ipi ipo vizuri mikopo?

    How and why crdb?
  11. CHINJA

    Nchi 14 za Kiafrika zinalipa Kodi Ufaransa

    Hivi hii kitu ni kweli?? Naona Kama utani vile
  12. CHINJA

    Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

    Sio mbeya ni mmbea..
Back
Top Bottom