Recent content by chingyeddy

  1. chingyeddy

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Biashara hapana. Coaster utakuja kuniambia majanga. Muhim jenga nyumba/nunua nyumba uipangishe. Kod uchukue 4 kwa mwezi, kwa mwaka? Miaka kumi imerudi. Nipo tayar kukuelekeza. Tena million 35 unapata nyumba nzuri kabisa
  2. chingyeddy

    Nitakuchukia for the rest of my life

    Mm iliwah kunitokea, nimeoa sasa mwingine. Usikubari jambo likuyumbishe.
  3. chingyeddy

    Nina ujauzito - nimekata tamaa

    majanga kwa kweli.
  4. chingyeddy

    Nimeoa nina miaka mitatu, mama yangu na dada wanadai mtoto niliyezaa hafanani na mimi

    Ndugu huwa wanavunja sana ndoa. Mstiri mkeo hata kama alizaa nje. Kaa nae chini muamalize.. epuka stress
  5. chingyeddy

    Msaada: Mpenzi mpya kazira nifanyaje?

    Mke wangu angenifanyia hivi, tusingefika tulipo sasa.
  6. chingyeddy

    Ushauri: Shangazi anadai nashirikiana na mama yangu kumloga ili afe

    Elimu sio tatizo, hapa shida. Bibi yako alitaka wewe ndo Uwe mwangalizi wa mali zake.
  7. chingyeddy

    DED Mteule Korogwe, Kwa hili Nakupongeza Rais Magufuli

    Namfahamu kwa miaka sita sasa. Tokea anasoma Maastrich Uni
  8. chingyeddy

    Watanzania waliosoma Havard

    Wapo wengi sana, kuna waliotoka Muhimbili, kuna waliopata Scholarship wakasoma Masters wengi sana.
  9. chingyeddy

    Napoteza ndoa yangu, kisa nimemwambia nilishawahi kutoa mimba kabla ya kuwa nae

    Nakumbuka kuna binti, nikimpenda sana. Mpiganaji, niliplan kumsimamia shoo nzima ya mtaji wake. Nikajua ntamuoa, alivyoniambia aliwah kutoa mimba mpaka leo sitaki kumwona wala kumsikia.
  10. chingyeddy

    Mwanafunzi wa UDSM natafuta mdhamini wa kunisomesha

    wabongo kwa Sound, angekua anafundisha Math ungesema, angefundisha History ungemlengesha. Haaaaaaaaaaaaaa
Back
Top Bottom