long neck
Member
- Aug 29, 2016
- 70
- 25
Ni mwanachuo wa chuo kikuu cha dar es salaam,naomba udhamini katika masomo yangu.
Kwa taasisi binafsi,shirika, mtu binafsi anaemiliki shule ya private,naomba tuwasiliane.
Nachukua bachelor of arts with education(BaED) History and Geography.
Kwa yoyote atayekuwa tayari kunisaidia tuwasiliane inbox.kwa makubaliano maalumu.
Makubaliano:
1.Nitafundisha kwa muda wote mpaka pale nitakapomaliza gharama(deni) zake.
2. Field zote nitafanyia apo
3. Na baada ya kuhitimu masomo yangu nitaendelea kufundisha hapo haijalishi shule ipo mazingira gani.
4.Na Mengine tutawasiliana zaidi ataponihitaji.
Kwa taasisi binafsi,shirika, mtu binafsi anaemiliki shule ya private,naomba tuwasiliane.
Nachukua bachelor of arts with education(BaED) History and Geography.
Kwa yoyote atayekuwa tayari kunisaidia tuwasiliane inbox.kwa makubaliano maalumu.
Makubaliano:
1.Nitafundisha kwa muda wote mpaka pale nitakapomaliza gharama(deni) zake.
2. Field zote nitafanyia apo
3. Na baada ya kuhitimu masomo yangu nitaendelea kufundisha hapo haijalishi shule ipo mazingira gani.
4.Na Mengine tutawasiliana zaidi ataponihitaji.