Mi mwenyewe namkubali ila inafikia kipindi huwa namsahau kabisa coz nyimbo zake siziskii redion always.ajaribu kuchange either management or style ya kupenyeza mziki wake .ni nyimbo kali but kama watu hawazikii mpaka wazitafute nadhani watu watabakia walewale.namtakia mafanikio zaid sokoni
Summarize!!!!!story ndeefuuuuu.
Lowasa na Slaaa ndo watu ambao tukichanganya mawazo yao tutapa kitu kimoja kizuri bila kuangalia ushabiki.mi sina chama nina mgombea .kati ya lowasa na slaaa mi nachagua lowasa.but slaaa na mtu tofauti na lowasa bora slaaa jembe letu
Dalali no mtu anaekurahisishia biadhara but now ndo wasumbufu na kufanya biashara ziwe za kihuni.no bora mwenye hivi viwanja ndo awe anawasiliana na wanunuzi.nilkuwa disappointed baada ya kuvifuatilia nikiwa nimejiandaa vya kutosha niliwekwa masaa matatu huku simu ikikatwa na kupewa majibu ya sound
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.