Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,626
- 5,346
Wakuu, nina shida katika Computer yangu kunakuwa na shida tajwa hapo juu kama kunakuwa kunatokea screen ya blue na computer inakuwa inajizima, mara ya kwanza ilikuwa inaingia hadi mwisho.
Ukiwa unapiga kazi mara unashangaa inajizima, zinakuja option kuna ile ya ku repair, na start windows normally, ukichagua hiyo ya kwanza hakuna kitu inarudi hapo hapo, ukichagua hiyo nyingine linatokea tena hiyo shida.
Baadae nikaingia katika safe mode, nikaweka system recovery nikaja kurekebisha nilipo start kawaida ikapiga mzigo kama masaa machache, ikarudia hali hiyo hiyo, kwa sasa mbaya zaidi haingii hata katika safe mode.
Naombeni msaada jinsi ya ku solve hilo tatizo, nina documents sintopenda kuipiga hiyo OS chini, kwasababu nitapoteza, naomba msaada...
Ukiwa unapiga kazi mara unashangaa inajizima, zinakuja option kuna ile ya ku repair, na start windows normally, ukichagua hiyo ya kwanza hakuna kitu inarudi hapo hapo, ukichagua hiyo nyingine linatokea tena hiyo shida.
Baadae nikaingia katika safe mode, nikaweka system recovery nikaja kurekebisha nilipo start kawaida ikapiga mzigo kama masaa machache, ikarudia hali hiyo hiyo, kwa sasa mbaya zaidi haingii hata katika safe mode.
Naombeni msaada jinsi ya ku solve hilo tatizo, nina documents sintopenda kuipiga hiyo OS chini, kwasababu nitapoteza, naomba msaada...