Kuitwa kazini TRA

Kuitwa kazini TRA

Leo wameita TA naamini kesho wataita PA cha msingi siku 3 hizi tukae karibu na simu
 
Wadau kuna mtu yoyot ana information kuhusu kuitwa kazini kw post za procurement za TRA waliofanya interview february pale landmark hotel
 
Kama ni kweli kwa watoa ushuhuda hawaa...
Pr3ssure ishaaanza......
Kwanini tusipate snapshot ya barua moja kupata uthibitisho kabisaaa....
Na pia walioitwa wametumia njia ganii...kupiga simu...,Emails Au vyotee????
 
Kama ni kweli kwa watoa ushuhuda hawaa...
Pr3ssure ishaaanza......
Kwanini tusipate snapshot ya barua moja kupata uthibitisho kabisaaa....
Na pia walioitwa wametumia njia ganii...kupiga simu...,Emails Au vyotee????
Wanapiga simu sawa
 
Wadau kuna mtu yoyot ana information kuhusu kuitwa kazini kw post za procurement za TRA waliofanya interview february pale landmark hotel

hzo bdo aisee vuta subira ila taarifa iliopo ndan ya mwez wa 4 wataita
 
Habari zenu wanaJF naomba mnijuze jamani mna taarifa kuhusu TRA wale tuliofanya oral interview kule tumaini kwa nafasi za TA,APO na PA manake kuna mtu kaniambia kuwa kaambiwa kuna baadhi wameanza kuitwa sa cjajua Kama kweli au la

Nashukuru Mungu muda si mrefu nimepigiwa simu na Mamlaka ya mapato Tanzania TRA kwenda kuchukua barua yangu ya ajira chumba no.27 nafasi ya ACO.
 
kumbe wanaendelea kuita mpaka leo..
ngoja nizid kuvuta subira..
 
Waduuu...
Presure Imekua kubwaaa mpaka..
Naomba kitu kifuatachoo kutoka kwenuu....
Naomba mtusaidie ile No...waliotumia kuwapigiaa simu.. kwa wale mliopigiwa..May be it Can Help.. you know...😨😨😞
 
TRA wameshamaliza kuita nini?no new news today,kua ACO haikua ridhiki am very depressed.
 
TRA wameshamaliza kuita nini?no new news today,kua ACO haikua ridhiki am very depressed.

Usikate taama ndugu kuna mtu kaitwa Jana ACO itakua bdo wanaita so subria tu na kumuomba Mungu
 
Back
Top Bottom