Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

Comrade Francis Heri Hoza Mjumbe kamati ya utekelezaji ya balaza la UVCCM mkoa wa morogoro Na Mwenyekiti mstaafu wa shirikisho la ELimu ya juu la wanachama wa CCM Mkoa wa morogoro.

Nimesoma tamko hili hadi kwenye hitimisho hilo hapo juu. Huyu ameshakuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Shirikisho la Elimu ya Juu la Wanachama wa CCM Mkoa wa Morogoro!!! Maskini, kama mtu alikuwa na wadhifa mkubwa namna hiyo, halafu uandishi wenyewe ni wa kipuuzi hivi, basi nchi hii ina kazi kweli kweli!! Hivi ndani ya CCM hata ile nidhamu ya kuheshimiana nayo imekufa?
 
Huu ndo muda wa wafu kuzikana wenyewe kwa wenyewe ccm roho yenu imeshikiliwa na Lowasa.Ukawa mbele kwa mbele .
 
To the rest of my life...tanzania haiwezi kuongozwa na mabaka uchumi..
 
Comrade Francis Heri Hoza Mjumbe kamati ya utekelezaji ya balaza la UVCCM mkoa wa morogoro Na Mwenyekiti mstaafu wa shirikisho la ELimu ya juu la wanachama wa CCM Mkoa wa morogoro.

Nimesoma tamko hili hadi kwenye hitimisho hilo hapo juu. Huyu ameshakuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Shirikisho la Elimu ya Juu la Wanachama wa CCM Mkoa wa Morogoro!!! Maskini, kama mtu alikuwa na wadhifa mkubwa namna hiyo, halafu uandishi wenyewe ni wa kipuuzi hivi, basi nchi hii ina kazi kweli kweli!! Hivi ndani ya CCM hata ile nidhamu ya kuheshimiana nayo imekufa?
Kosoa mawazo usikosoe mtu...wewe ni mwandishi wa habari wa mda mrefu...lakini huu ni upungufu unaopaswa kuufanyia kazi....
 
Summarize!!!!!story ndeefuuuuu.
Lowasa na Slaaa ndo watu ambao tukichanganya mawazo yao tutapa kitu kimoja kizuri bila kuangalia ushabiki.mi sina chama nina mgombea .kati ya lowasa na slaaa mi nachagua lowasa.but slaaa na mtu tofauti na lowasa bora slaaa jembe letu
 
Lowasa kazi anayo kwa ufisadi huu sijui atatokea wapi kila sehemu anapigwa za uso tu.
 
Kumbe lile ghorofa LA masaki pale kahusika kulivunja kwa sababu linakinga upepo teeehe teehe
 
aiseee kwel mwaka huu kuna mengi kuliko nilivyofikilia.....
mkuu acha kusumbuka, watu wote c.c.m ni wabaya sana, tena wengine watoa roho za watu bora huyu kaiba tu km ulivyokomalia, wameuawa watu na hao unaowaita wema, wanadhalau hata maoni ya wananchi hao unaowaita wasikivu.....
wamefanya maisha kuwa magumu hao uliowaita wana nia nzuri na nchi.

NAOMBA NIONGEE JAMBO MOJA TU,
NI LOWASSA PEKEE ALIEKUWA WAZIRI WA MIFUGO AKATOA AMRI WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MIFUGO WAPANDISHWE MADARAJA NA MISHAHARA,
Toka atoke kila kitu kikarudi as usual.
NAKUPENDA LOWASA KAMA UNASOMA THREAD Ni PM tu walau neno la asante nifurahi.

Mmezoea kudekezana nchi inaoza, tunataka kiobgoz asiengalia watu usoni ili nchi irudi kwenye msitari....

kagame is like lowasa, ukichaguliwa waziri kuna sehem ya kusain kuanza kazi na sehemu ya kusaini ya kuachishwa kazi anytime ukileta kulepetwa kazini.....
kwa mantiki hiyo rwanda ipo pazuri.....

nitakesha nikiandika ilihali sijawah andika mambo ya siasa mm, lowasa go go go,
ningekuwa mwandishi wa hbr afu uniite conference kama hii walahi ungefaidi vibano vyangu tena kwa kutumia camera na mateke.......
ww ni engineer wa nosenseeeeeee
 
sijui amekula maharage ya wapi huyu hoza!nilikuwa namuheshimu san lakini sasa simuheshimu teeeenaaaa amelewa lewa tu hovyo kuja hapa na kuandika upuuzi wake kwa lowasa watanzania hatukubali wenye akili kama hoza ni kama mtoto mdogo aliyevishwa pampasi hoza nenda zakoooo tuachie lowasa wetuuuu hatupo kichama sasa tunaangalia mtu anayetufaa watanzania sasa ccm mtuache na lowasa sasa aaaahhhh!!! huu ni wakati wa lowasaaaaaaaa na mabadilikooooooo ya kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...
 
Huyu ninani? Naye anatafuta ukuu wa wilaya? Mbona Kikwete kabakiza miezi Sita tu?

BACK TANGANYIKA
 
Acheni kutumika kumchafua mtu. Inakuaje pamoja na kujua maovu yote haya bado CCM imekuwa ikimpa nafasi mbalimbali za kiungozi ndani na nje ya bunge tena akiteuliwa na wakubwa wa nchi?. Yawezekani hawa wapuuzi wakahici wanaitengeneza na kuijenga CCM kumbe mnaibomoa.
 
Bila Edward Lowassa CCM Mtaangukia Pua; Mpuuzeni Huyu Kijana anasumbuliwa na Njaa ya Kufa Mtu. Hakuna la Maana aliloliandika tofauti na Kupigia Debe Kundi lake huko CCM>
 
Back
Top Bottom