Huu mjiza ujitokea Mungu atajizolea SIFA sana maana wengi wameonewa,Kama mwasumbi mchg,alifungwa maisha na akatoka nae huyu inawezekana ,ila shoo yake sasa utakuwa balaaa
Nimeshangaaaaaa sana ushabiki wa kiuvivu,inawezekana huyu alicheki mechi kwenye kalai LA bibi ni mechi tu bayani walibainika kuwa si kila timu ni arsenal ,Leo hii baka ,wakacheza jihadi,wakarudisha mtasema refa
MTU wa namanyere baadhi ya watoto wake ni machizi ,alipokuwa chadema alikuwa chiz akakosa ubunge Mara kibao alipohamia chama hiki akapona nahis hali ile inamrudia
Chinmbe chinembeeeeeee mnatumia simu vibaya badala ya kugoogle uangalie ukweli unaanza propaganda za kusafisha watu ,iddiamin ni moja ya watu katili hatari kuwHi kutokea angalia video zake you tube,acha kutetea ujinga
Kama nyerere alivyosema katika moja ya hotuba zake mkienda kinyume na dhambi hii iwatafune mi naongezea na iwatafune Mara mia ili mnyoooke ,maana mnajifanya wajuaji sana watanzania mnaletewa NEEMA baba wa taifa kawatengenezea nchi nzuri nyie ujuaji mwingi badala ya kufuata misingi yake ,hata...
Taarifa yako hii imejaa unafiki haina uchunguzi wa kina kujua yanayosemwa ni kweli au sio kweli ,hakuhojiwa ester kwa sababu bunge lina uoga hv wakahoji halafu voda,tigo wanadhibitisha kweli amemtisha then inakuwaje kwa wabunge na kamati zake zenye uongo na unafiki huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.