JF
Tangu uchaguzi wa 2015 ulipomalizika na utawala wa JPM ukaanza rasmi ulitangaza nia yake ya kukimaliza kabisa chama cha CHADEMA hata kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020
Kuna njia mbalimbali zimekuwa zikitumiwa na serikali hii ya ccm ili tu kukidumaza chama hiki lakini mpaka sana kinaonekana bado...
JF
Mwaka huu wa uchaguzi kila mwananchi anayohaki ya kuchagua kiongozi anayemtaka
2015 wabunge walichaguliwa na walitoa ahadi nyingi sana kwa wapiga kura, ahadi nyingi hazijatekelezeka
Wabunge wa majimbo yafuatayo hawawezi kurudi ndani ya bunge baada ya uchaguzi hapo octoba, ni vema wakatumia...
Mkuu wacha uzembe chakacha papuchi izo!
Unaweza kuwa na mwanamke wako anaishi mbagala lakini mishe zake anazipigia sinza na unaeza kuwa na demu wa sinza yuko poa sana katulia
Mikoani watu mambo bado sana
Mwakajana nilirudi mkoani kwangu, aseee nimefika mkulima loung nawanangu wawili kila mtu na demu wake hapo nikajivutia demu wangu wa enzi izo
Basi nikawaambia waagize wanachotaka, wao ni balimi, eagle, safari nk
Nikajivutia smirnoff vodka then nikamix na Heineken...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.