Hakuna haja ya kumweleza kwani yeye hajui mahitaji ya mwanamke? Huyo yuko kimaslahi zaidi,pesa yake anafanyia maendeleo,huyo ni changuchangu,chako chetu.sio mtu mzuri kwa maisha huyo.
Yaani ni bora hivyo kuliko kujiingiza kwa mtu ambae hana kitu mkatafuta wote kwa shida alafu mwisho wa cku anakuumiza kwa ajili ya interest zake binafsi.sio wote wanaopenda waliokwisha fanikiwa lkn hata huyo mnaetafuta pamoja mwisho wa cku anakufanyia unyama hivyo hakuna sababu ya kusema muanze...
Hapo ana anza mwanzo kabisa
Yaani mwaka wa kwanza,,, hadi wa tano
U daktati wa binadamu na u daktari wa wanyama haviko sawa kwa masomo,,,,
Anatomy tofauti,
Physiology tofauti
Etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.