Recent content by Chezamomo

  1. Chezamomo

    NMB Bank mmelewa sifa, mjingalie sana

    Roma mkatoriki aliwaambiaga.. hamkumsikia katika wimbo wake wa Mathematics..
  2. Chezamomo

    Mwimbaji wa Uganda Lady Mariamu yuko wapi?

    Sio mganda ni mnyankole kama ni myanda alipewa uraia..
  3. Chezamomo

    Mojawapo ya masharti ya STATUS ya Lissu nchini Ubelgiji

    Huwezi kuhua hivi hivi,!! Hivi hujui Kuna watu wanaangaika kuua kunguni?? Hata mbu kuua si Jambo la kawaida !!
  4. Chezamomo

    Maneno gani ya Kiingereza ulikuja kujua baadaye yanasomwaje?

    Me nipo hapa fudi kaniagiza nikachukue "Rejeta""Sasa Niko njiani kuchukua 'Radiator"
  5. Chezamomo

    Ipi gari yenye thamani zaidi kwa sasa

    Me naona ya kwangu Toyota GX 100 ndo gari ghali ,kwa sababu hata mabilionea wa hapa Tanzania wanashindwa kununua..
  6. Chezamomo

    Roma Mkatoliki anafanya nini Marekani?

    Ila Kuna watu wasahaulifu, katika wimbo wake wa "Mathematics" si alisema??..je kutaka kwenda Zimbabwe??.
  7. Chezamomo

    Roma Mkatoliki anafanya nini Marekani?

    Ba Bandugu bwaga manyanga, hayaokote Magufuli,..
  8. Chezamomo

    HARMONIZE ATOA KIJIMBE INSTAGRAM.

    Na wewe acha "USHAMBA" .. kutuambia vitu vya kishamba...
  9. Chezamomo

    Yanga yamtimua Kocha

    Sawa kwani Kuna shida??
  10. Chezamomo

    Kizungumkuti hifadhi ya Burigi

    Hakuna pori linaitwa biharamuro.. Pori linaitwa Kasindaga game reserve Ila lipo biharamuro..
  11. Chezamomo

    Geita: Wananchi wafanikiwa kumuua mamba aliyeua wakazi 5 akiwemo mtoto wa darasa la 3

    Mnashindwa kutofautisha kati ya pancriatican juice .. na bile juice.. na location zake..
  12. Chezamomo

    Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

    Hivi mnataja kabira au mkoa??!
  13. Chezamomo

    Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

    Usiseme Ben pol.. sisi huku tunamjua Kama Bernardo Paulo..
Back
Top Bottom