Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,042
Saaana tu. Na mshahara,mrefu tu kama wa mbunge hukuMkuu hizo kwa wenzetu ni kazi za maana pia, sema kwa Bongo tu ndio mtu akifanya kazi ya ulinzi ndio anaonekana kachoka. Lakini wabeba box wa mbele Bongo wana mijengo ya maana wewe unaewadharau hauna.
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app