sioni kosa la huyo dada, alieua ni mtu mwingine kabisa tena baba mdogo wala sio babaake mzazi, me nadhani ni muda wa kusameheana kama familia ya kuanza maisha mapya, msimulie jinsi ilivyokuwa then yeye ataona anafaa kuwa upande gani!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.