Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,567
- Thread starter
- #141
reason ni kwamba : Hawatosheki na MBOW MOJA....
reason ni kwamba : Hawatosheki na MBOW MOJA....
Wana nyodo sanaMambo vipi members,
Aisee kuna mdada hapa mtaani kwetu yaani ni mzuri nikisema mzuri namaanisha, yaani ana kila kitu yaani mdada amekamilika yaani akipita hata sisi wadada wenzie tunageuka kumtizama.
Sasa akiongea ndio usiseme yaani ana kasauti flani hivi amazing. But cha ajabu ameshaolewa Mara 3 mpaka sasa na kuachika na wale wanaume wameoa wanawake wa kaiwaida tu sio wazuri kama yeye but ndoa zao zimesimama.
Huyu nimemtumia kama mfano tu ila wapo wengine wengi tu kama huyu hasa huku kwetu Mbagala. Hivi tatizo linakuwa nini wajameni?
Na wewe hujamuelewa eee? Ha ha h!!
Dom kwema?Na wewe hujamuelewa eee? Ha ha h!!
Afu wewe jamaa acha vijimaneno vyako...
Mtoto wangu huyu nisikuone hapa unachombeza chombeza maneno
Dom magu alivyoingia nilirudi dsm.Dom kwema?
Hahaa umemuona huyo mtoto ee
Kwa sababu anaupeleka uzuri wake kuitawala ndoa. Wakigombana kidogo tu Mwanamke atamwambia kwa jeuri"mie mzuri hata ukiniacha leo ntaolewa kesho" kuna cha kuvumilia hapo?
HHAHAHAAHAAAAAAMwenzenu kaolewa mara 3 nyie hamjaolewa hata mara 1 halaf mnaona yeye ndio ana matatizo zaidi yenu nyie....nyani haoni kundule
UmefurahiiiHHAHAHAAHAAAAAA
ulivyomshushua tu me hoiUmefurahiii
Naww hujaolewa?!ulivyomshushua tu me hoi
Aslimia kubwa hawa wanawake wazuri aisee hawaolewi kabisa.Kwa sababu anaupeleka uzuri wake kuitawala ndoa. Wakigombana kidogo tu Mwanamke atamwambia kwa jeuri"mie mzuri hata ukiniacha leo ntaolewa kesho" kuna cha kuvumilia hapo?
Nimekubal mkuu mwanamke akitaka yy inakuwa tamu sanaayani kwanza hujui kutoa papuchi bila kuombwa na ukiombwa unaringa nayo kama mali vile.... jifunze kutaka dushe na pia jifunze kutoa bila kulazimishwa japo si utoe kila siku.. na ili usiboreke jifunze kuitaka wewe utaenjoy
nimekukubali pia mkuuNimekubal mkuu mwanamke akitaka yy inakuwa tamu sanaa
but uzuri wake unabaki kwa wasiomjua kiundan kwamba yuko vepe vepeKwa sababu anaupeleka uzuri wake kuitawala ndoa. Wakigombana kidogo tu Mwanamke atamwambia kwa jeuri"mie mzuri hata ukiniacha leo ntaolewa kesho" kuna cha kuvumilia hapo?