Hp ndio wanawake wanapokwama hawawezi kabisa kujizuia lazma utaona tu jeurijeuri kibri majibu ya mkato kununa kusudi kutaka abembelezwe haogopi kuachana nakadhalika ila mwanaume anaweza akawa na vdem hata vi4 ila kwa mpenzi wke ampendae mapenzi tele na asiweze kushtuka km jamaa anapigapiga nje yaani tunajua kutofautisha kati ya mapenzi na ngono naweza kutana na toto la uswahilini likanipa chezo chezo kweli then nkarudi kwa mpenzi wng ambae ni mgeni kabisa kwenye mapenzi ila nkampenda na kumheshim!
Simple tu, na wewe fanya hivyo hivyo......anza kuonesha dalili kama zake, ili asipokee simu yako acha kumpigia, au tayar ushamkabidhi IST? Kama tayar next time baki na card
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.