Wanaolialia wote ukiwaangalia tu utajua wana recessive genes za ubahili acheni ubahili huo wapeni hizo pesa khaaaa, mi sipend wanaume wabahili Kama akikupa hayo majukum ya kulipa pango itakua we mwenyewe ulianza kwa kumhonga vihela huwez kua mgum siku ya kwanza AF SKU ya tatu akakuomba pesa...
Kubemenda mtoto ni kule kutoka kufanya hilo tendo AF hamuogi mkamshika mtoto mnakua mnamuachia majadho yenu kwahy mnashauriwa mkitoka kukutana na mwezio haraka jisafishen mkoge mtoe hilo josho ndo mumshike mtoto sio mmetoka kwenye hyo shughul mtoto gafla kalia unamdaka unambembeleza kiivyo...
Kwann usiongee na mkeo vizur mueleweshe ili akae vizur kwenye nafas yake kuliko kuzaa zaa watoto wa nje...acha kufkiria kuzini kwamba ndo solution mueke mkeo chini mwambie mm napenda watoto nataka tuendelee kuzaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.