Umeandika kibinafsi saana. Sasa kuna haja gani ya kumpeleka huyo binti yako shule ili hali baadae kazi yake ni Kua mama wa nyumbani?
Nakuambiaje, kama ni kuliwa ata ukisema awe anajifungia chumbani, wahuni watamtafuna kwenye kitanda chako unacholalia.
Kwani hao wa mtaani si ndo hao hao wapo mtandaoni! Unaweza ukakutana nae kanisani na akakukula na kukuacha na hivo hivo unaweza ukakutana nae mtandaoni na mkaoana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.