Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,362
- 5,881
Wana MMU naombeni mnipe tu pole.
Mie ni mtu nisiyeumizwa na mambo ya mahaba, lakini nashangaa kuona huyu single mother niliyekutana nae kwenye pilika za maisha mkoani Mbeya, anaolewa 😥.
Huyu single mother mie nilikuwa ni msafiri na mpitaji ili nililazimika kukaa baada ya kusema amenasa ujauzito. Sasa katika pilika pilika za kulea ujauzito, nikajikuta napata hisia 😀.
Ila baada ya kugundua kuwa naletewa mapicha picha si ndio nikakapiga chini. Ila si haba, kamekula sana vijisenti vyangu vya kila mwezi.
Sasa nimeona picha ze send off yake nimeumiaje? Sijui niende nikafanye vurugu 🤗. Yaani hapa hata sijielewi. Nahisi siku yangu leo imekuwa mbaya kabisa.
Mie ni mtu nisiyeumizwa na mambo ya mahaba, lakini nashangaa kuona huyu single mother niliyekutana nae kwenye pilika za maisha mkoani Mbeya, anaolewa 😥.
Huyu single mother mie nilikuwa ni msafiri na mpitaji ili nililazimika kukaa baada ya kusema amenasa ujauzito. Sasa katika pilika pilika za kulea ujauzito, nikajikuta napata hisia 😀.
Ila baada ya kugundua kuwa naletewa mapicha picha si ndio nikakapiga chini. Ila si haba, kamekula sana vijisenti vyangu vya kila mwezi.
Sasa nimeona picha ze send off yake nimeumiaje? Sijui niende nikafanye vurugu 🤗. Yaani hapa hata sijielewi. Nahisi siku yangu leo imekuwa mbaya kabisa.