pole sana ila siku nyingine utajifunza kuwa makini ukisafiri utunze bag lako vizuri kama umebeba vitu vya thamani.Wezi wako wengi sana siku hizi ni mara nyingi nikipanda Abood huwa dereva au konda anatangaza kuna watu wanawaibia wenzao mabag wanajifanya ni mabag yao wakiiba wanashukia...
sheria yoyote ambayo inabagua jinsia inapingana na katiba ambayo imeprovide for equality kwa wote,kama mwanamke anavigezo vya kumiliki silaha anayohaki ya kumiliki kama mwanaume.
kuwa muhuni ni tabia ya mtu sio kweli kwamba wasichana wote wa chuo ni malaya.Mbona wapo wengi wanaojiheshimu wanajua kilichowapeleka ni kusoma.Muache asome kua na positive attitude atamaliza tu salama.
na bado hata hao wa la 7 na form 4 siku hizi wanajiendeleza kielimu unamuoa kaishia form baadae utamuona mdogomdogo anajiendeleza wameshawachoka hamtaki wafanye kazi hata nguo na mafuta ya nywele hamuwanunulii mnategemea awe goal keeper mpaka lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.