Msaada: Nilipotelewa na Bag langu ndani ya basi la Abood

Msaada: Nilipotelewa na Bag langu ndani ya basi la Abood

pole mkuu! hilo jambo lipo! ukipanda na begi kuna wanaoshuka nalo
 
nazile condom.mbona ujasema.

sema vyote.uletewe

umenifanya nitabasamu japo ninamachungu, umekua kama mganga wa kienyeji! ukweli kulikua na kipakiti kimoja cha condom, kwani mkuu neno nk si linamaanisha etc?!
 
Unafana na bwana .mmoja alipata lifiti kwenye gari ya ndugu yangu WA Nzega na kuacha geg ndani ya gari had I LEO.
 
Unaposafiri then una beg dogo ambalo lina viti sensitive kama vitambulisho au vyeti u must be very careful.Ikiwezekana kaa nalo mikononi aiseee.Never trust anybody
 
Mi ni mtumiaji wa usafiri huo kutoka Moro kuja Dar na Dar kwenda Moro, Aboud bus is the best choice ndani hakuna konda wala biashara za karanga zaidi tu ya wale wakaguzi pale chalinze ambao daima hukagua abiria wasio na tiketi na waliokaa chini au kusimama, sasa issue iko hivi.

Mara nyingi abiria akitua ndani basi vibegi huwekwa kwenye carrier hata akina mama nimeona wana mazoea hayo, alafu unakuta abiria anachomoa smartphone yake anaaingia viber, whatsapp, fb, etc anachati safari nzima hana mpango yeye ni raha tu na earphone masikioni,.

Na wakati mwingine umekaa na abiria huyo huyo hakyuna cha salamu wala nini, kwahyo mwizi wako wa kwanza ni abiria uliekaa nae ulikuwa na uhusiano gani ukiwa safarini, na pia wengi hupachika begi mahali ambapo sio sehermu aliyokaaa hivo lolite lile laweza kutokea wakati wa kushuka.

Abiria uwepo makini kila unapotumia usafiri huu wa umma kwani hakuna atakayekuwa na msaada wa karibu kutoa majibu ya tatizo lako la upotevu wa mali zako.

Safari za kupoteza begi ndani ya basi ni kesi ambayo wewe mteja ndio unahusika.

Jichunguze ulivyosafiri na ulipachika wapi na ulianzia safari msamvu kwa tiketi au ulidandia tu njiani.

Pole sana aissseeeeee

mkuu umejaribu kuwatetea Abood,lakini hujajiuliza kwanini tatizo hili linawakumba zaidi abiria wa Abood?ABOOD wanautaratibu wa kutoza hela kwenye mizigo midogo midogo.ukiwa na kiroba cha unga wanataka hela tena nyingi.kibaya zaidi kazi hii wamewapa wahuni,hao wahuni ndio wanao chora kila kitu na kuwaibia abiria.mi mwenyewe nimeshakumbana na ubabaishaji/wizi ktk mabasi hayo.walevi wananuka pombe lakini wanakitabu cha tiketi za mizigo,walitaka nilipe elfu 30 kwa unga wa debe 2.wale ndio wezi wenyewe.
 
Habari zenu ndugu zangu wanajf! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yenyewe.

Ukweli ni kwamba, Mnamo tarehe 13/10/2014 nilipotelewa na Bag langu ndani ya basi la Abood. Nilikua natokea moro kuingia Dar, nilikuja kujua na kutambua ya kwamba sikua na bag ni baada ya kufika ubungo.

Ndani ya bag kulikua na laptop, vitambulisho vyangu (nhif, psptb, driving license, kitambulisho cha mdogo wangu mali ya university of Dar es salaam) pia lilikua na picha zangu mbili, fungua za Gheto langu, statement result yangu, flash nne (3 ni 4GB na 1 ni 1GB) nk.

Kama kuna Mwanajamiiforums atakuwa ameviona popote tafadhali naomba nifahamishe ama vipileke kwenye kituo chochote cha polisi ama kwenye ofisi yeyote inayohusiana na document zangu.

Ninaitwa EMMANUEL MKWAMA

Kwa mawasiliano napatikanika katika namba zifuatazo 0717568496 / 0786758268

email natumia, emkwama@ymail.com

emkwama@gmail.com

pole sana ila siku nyingine utajifunza kuwa makini ukisafiri utunze bag lako vizuri kama umebeba vitu vya thamani.Wezi wako wengi sana siku hizi ni mara nyingi nikipanda Abood huwa dereva au konda anatangaza kuna watu wanawaibia wenzao mabag wanajifanya ni mabag yao wakiiba wanashukia njiani.Bora ulipakate bag lako kuliko kuliweka kwenye carrier.
 
kuna wezi wawili.wameshushwa hapa mlandizi...walikua wameshafanikiwa kuiba mabegi mawili ila wakashtukiwa..wapo kituo cha polisi mlandizi...inaonyesha wanamtandao wao...
 
Abiria chunga mizigo wako wa ndani, ukipotea sio dhamani yetu.
 
ndugu zangu ivi kweli hadi sasa hakuna mtu yeyote aliyepata kuona vitambulisho mahala popote vimezaga au ata makabrasha mengine yeyote katika maeno yanayo mzunguka ambavyo nimevitolea taarifa hapa
 
pia pc iliyoibiwa ni hp elitebook.
natangaza zawadi nono kwa atakae fanikisha kuvipata vitu vyangu. please nawaombeni waungwana.
 
nashukuru mkuu,kiukweli jamaa wamenirudisha nyuma.ila natangaza vita dhidi yao rasmi

Vita na watu wapi tena?

Kama ni hao jamaa wa hilo basi la Abood nadhani utaishia kupaka rangi upepo tu...

Tiketi ya basi huwa inaandikwa kabisa kuwa mwenye mzingo ndiye mwenye dhamana ya usalama wa mzigo wake...

Hivyo upotevu wowote kisheria unawapa jamaa favor...
 
Mi ni mtumiaji wa usafiri huo kutoka Moro kuja Dar na Dar kwenda Moro, Aboud bus is the best choice ndani hakuna konda wala biashara za karanga zaidi tu ya wale wakaguzi pale chalinze ambao daima hukagua abiria wasio na tiketi na waliokaa chini au kusimama, sasa issue iko hivi.

Mara nyingi abiria akitua ndani basi vibegi huwekwa kwenye carrier hata akina mama nimeona wana mazoea hayo, alafu unakuta abiria anachomoa smartphone yake anaaingia viber, whatsapp, fb, etc anachati safari nzima hana mpango yeye ni raha tu na earphone masikioni,.

Na wakati mwingine umekaa na abiria huyo huyo hakyuna cha salamu wala nini, kwahyo mwizi wako wa kwanza ni abiria uliekaa nae ulikuwa na uhusiano gani ukiwa safarini, na pia wengi hupachika begi mahali ambapo sio sehermu aliyokaaa hivo lolite lile laweza kutokea wakati wa kushuka.

Abiria uwepo makini kila unapotumia usafiri huu wa umma kwani hakuna atakayekuwa na msaada wa karibu kutoa majibu ya tatizo lako la upotevu wa mali zako.

Safari za kupoteza begi ndani ya basi ni kesi ambayo wewe mteja ndio unahusika.

Jichunguze ulivyosafiri na ulipachika wapi na ulianzia safari msamvu kwa tiketi au ulidandia tu njiani.

Pole sana aissseeeeee

Pilisi waanze na wewe
 
Back
Top Bottom