Kaka jaribu kutafuta katiba ya Zimbabwe uone kama inampa uwezo Rais kuadhibu kama alivyofanya Mugabe.Ukipata jibu uje utuambie ulikuwa sahihi au la kukasirika kwa kitendo alichofanya Mugabe.
Kwani Mheshimiwa alipotangaza uamuzi huo hakutoa sababu??
Nakumbuka pia kuliwahi kuzuka mjadala humu ndani kwanini shule hii inayomilikiwa na Chama Cha Mapinduzi imekarabatiwa kwa pesa za michango kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi.Yawezekana uamuzi huu ni kuhalalisha ukarabati huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.