Mauaji Florida Airport, wengi wafariki

Mauaji Florida Airport, wengi wafariki

Media za marekani zinaweza kublind, hili shambulio lingekua limetokea Ulaya like ufaransa wangesema la kigaidi,ila huyo jamaa wanasema 'MAUAJI' NA MUUAJI NI CHIZI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama filamu ya afande Kova na Ulimboka via mkenya kichaa.
 
Kama angekuwa anaitwa hassan ungeskia stori nyingine ss hivi.
 
Back
Top Bottom