Recent content by ceecy370

  1. ceecy370

    Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

    Pole sana! Huyo mkeo tu ni mchafu! Kuna wanawake wako wasafi na organized kweli. Hongera kwa kumvumilia.
  2. ceecy370

    Aliyekuambia unifuatilie nani?

    Ukute na wewe wanakulia wa kwako! Ngoma droo
  3. ceecy370

    Mapenzi mapenzi mapenzi

    I concur!
  4. ceecy370

    Naombeni ushauri; Nimempenda mume wa mtu

    Love is blind! Ko usiufuatemoyo wako tu... Tumia akili kuchanganua kinachotokea. Anampango gani nawe? Ni kwamba uwe mchepuko tu au anatako akuweke mke wa pili au vipi? Wengi hawawaachagi wake zao ko usijifariji sana ata akikwambia hivyo.
  5. ceecy370

    Wanaume waliooa ndoa za wake wengi hawaendelei kimaendeleo

    Ni kukosa maarifa tu! Kwanini uongeze wa pili kama unaona ni kikwazo kwako? Kuna jirani yetu ana wake wawili na anamaendeleo mazuri tu!!! Kajenga jumba lake gorofa, juu anaishi mke wa kwanza na chini mke wa pili, watoto wake wote wako shule za maana na kila mke ana gari na dereva. Sasa wewe...
  6. ceecy370

    Naomba wanawake wenye hekima zenu mujibu kwa mitazamo yenu na wanaume wenye busara

    Swali gumu! Ila "ukubwa wa pua si wingi wa makamasi". Saizi ya uume haijalishi sana ila mwanaume mwenyewe tu, kujua jinsi ya kuutumia na wapi pa kulenga. Hawa wanaotumia mapungufu ya mtu kumkashifu wakati mmeachana ni kukosa ustaarabu tu! Sionagi kama size inaumuhimu sana kwangu!!!
  7. ceecy370

    In need of man suffering from infertility for a husband!

    Najua kuna solutions! Ila kuna a guy out there ame give up on marriage kwasababu ya tatizo hili! Tatizo liko wapi kukubaliana na hali na kusonga mbele? Kama solution tutatafuta pamoja.
  8. ceecy370

    In need of man suffering from infertility for a husband!

    Asante sana, tatizo sio solution...
Back
Top Bottom