Sijajua..ila naikumbuka kipindi cha mwendazake alisema mishahara yote itoke hazina....ila ngoja nsubirie maana barua ya ajira kutoka kwa mwajiri inasoma kazi nimeanza mwezi wa 3 tarehe za mwisho mwisho.....hivi inawezekana mtu kulipwa miezi 2 baada ya check # kutoka??
Ila hizi mambo za Ajira ni pasua kichwaa tu, unaitwa kazini,unaenda kwa mwajiri, unakamilisha process zote, mda wa mshahara unafika hamlipwi daah.
Vijana tunapitia maisha Magumu sanaa kuanzia kuomba kazi, interview nakusubiria majibu ya placement, kazini nako mambo si mambo daah no way out
Nilipopata kazi Status both App and web Ni SELECTED FOR ORAL INTERVIEW, kwa Mda and lga placement bado haijatoka status ni kwa web ni SELECTED FOR ORAL INTERVIEW kwenye App ni NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW
Ukiona not selected for oral na umefanya oral ina maana sana kwenye status..so hacheni kupeana matumaini kwamba status hazina maana asa asa kwenye App
Una uhakika NOT SELECTED unapata kazi???
Mimi nimepata ajira juzi tu,ila status za kwenye app zina maana sana,sema ni vile tu tunachukuliaga poa na tunapenda sana kutiana matumaini kwenye hamna...narudia tena tarehe 14 nlifanya oral ya Mda/lga nilitoka nkijua nimezingua.. before ilikua selected for oral nlivoingia kwenye app tarehe 15...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.