Recent content by catty shangali

  1. C

    Mnawezaje kudumu na hawa ndugu zetu?

    Labda umezoea kununua..wamekuharibu akili
  2. C

    Mnawezaje kudumu na hawa ndugu zetu?

    Unajini mahaba nenda ukaombewe.
  3. C

    Tuliotelekezwa na baba zetu tukutane hapa

    Wanaume wengi wanatabia ya kuadhibu mama na mtoto.muache mwanamke,mjali mtoto wako.hiyo ni damu yako
  4. C

    Wanawake mlio na 'mdomo' tabia hii acheni maana mtakuja kulia na kusaga meno

    Mama zetu wanatufundisha kuficha makucha.ndo maana ndoa za siku hizi uwanja Wa fujo
  5. C

    Je hili ni kweli?

    Kuna wababa pasua kichwa.sio mfano mzuri kabisa
  6. C

    Mh. Lowassa wewe ni Jembe, hujawatoka midomoni

    Nigeria,Kenya ni mifano mizuri.uko siku ccm itang'oka kama alivyong'oka mkoloni.
  7. C

    Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

    Kama JPM atafanikiwa kuwatoa wasio na vigezo,na kuwasaidia wenye vigezo.nitahamia ccm.
  8. C

    Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

    Tuliosoma tuko mtaani.wasio na vigezo wako kwenye koyoyozi,maisha ni vurugu tupu
  9. C

    Msichana kahamia kwake kwa lazima na hataki kurudi kwao, afanye nini?

    Hapo tayari ndoa hamna haja ya kuumiza kichwa.
Back
Top Bottom