Afande Nyati
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,385
- 1,413
Niliwah kuwa na hali kama yako ila mimi ckuwa na hasira bali mapigo ya moyo kwenda mbio na kuhic hali nisiyoielewa,
Nilikata shauri na kwenda Muhimbili nilifanikiwa kuonana na mtaalamu wa psychology mpaka sasa niko fresh kabisaaa baada ya dose ya kama mwezi hivi.
Nilikata shauri na kwenda Muhimbili nilifanikiwa kuonana na mtaalamu wa psychology mpaka sasa niko fresh kabisaaa baada ya dose ya kama mwezi hivi.