Recent content by Catalunya_messi

  1. C

    Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

    Si waliitwa, na wakakataa kwenda.. Acha wale jeuri yao Kwahiyo na wewe unaamini kuwa majina yalipelekwa na CHADEMA? Nikuulize yule aliyekuwa gerezani kwa siku 133, akaachiwa usiku saa moja, asubuhi akaapishwa kuwa mbunge, Je, hao CHADEMA walijuaje kuwa atakuwa huru mpaka watume jina lake Tume...
  2. C

    Diamond Platnumz 'Waaah' Ft Koffi Olomide

    Mond ni King of All musicians in Africa
  3. C

    Tanzania kuipita Kenya kiuchumi

    Mimi ni Mtz, but it will never happen! Dunia ya leo sio ya enzi za ujima, ukiachwa, umeachwa tu.. hakuna jinsi.
  4. C

    Fahamu vitu ambavyo ‘Sex Dolls’ wanaweza kuvifanya

    doli lina hema au limetulia tu! je, ukiwa unapeleka dyudyu linaweza kukuzuia usipenetrate sana. Maana hayo yote yana ladha yake kwenye game.. Vp, kuna muda litajamba kidogo.. yote ni manjonjo ya kutiwa.. kama halifanyi yote hayo, tupa kule
  5. C

    Mjue Mamba: Kiumbe mwenye uzito wa ajabu

    makala ingependeza zaidi kama ungeweka picha au video ya mamba akimla nyumbu...
  6. C

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Ukifuga nguruwe, inongeza kipato cha familia, maana una uhakika wa biashara
  7. C

    Awamu ya pili ujenzi reli ya kisasa kuzinduliwa Februari

    Duh, mbona vyuma vikavu tu... standard gauge gani hii wajameni
  8. C

    Tumfundishe siasa Humphrey Polepole: Watumishi nchini, mpuuzeni huyu kijana na CCM yake

    polepole ni shider sana! amelewa na kujiona ni kila kitu ktk nchi hii.. halafu huyo ni msemaji tu, hana authority ya kutoa amri yoyote, labda kama katumwa afanye hivyo.
  9. C

    Umegundua nini?

    nimegundua, maisha ni magumu kwa sababu ya CCM madarakani..
  10. C

    Jinsi ya Kumwambia wife Umezaa na kimada

    Piga kimya kabisa. iwe siri ya jeshi. usijaribu kuwambia yeyote, hata rafiki zako. Huyu mtoto mtengenezee future yake. akija kujulikana home, labda yupo chuo... hapo heshima itakuwepo kidogo
Back
Top Bottom