Mara nyingi wapiga debe uwa hawana uhakika na wakinenacho, huyu ni mpiga debe tu. Anayetafuta mchumba anataka afuatwe pm hata wewe na njaa zako eti tuje pm....pumbalagala
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati unajadili ili usisahau kuna kitu kinaitwa HATI YA DHARULA(ghafla[emoji23]) na NDIOOOOOO MZEEE wakati wa kupitisha sheria hizi.
Jamani breakfast tayari uko?
Nilichogundua ni kwamba mkuu una bla bla nyingi, mara nakuja wiki hii, mara kesho ili hali unaelewa uchumi ulivyobana. Sasa wasukuma tumeamua kufata wenyewe ili uache kutuzingua. Hata chini tulala lkn we andaa mpunga wetu.
Hivi wanaoingia mikataba wako chama tofauti na rais anayekuwa madarakani kwa wakati huo au ni wale wale.
Nadhani nguvu nyingi za maombi tuzielekeze kwangu nipunguze michepuko
Eti kiherehere chake!!
Kwa majibu haya inaonekana wewe ni kati ya wale wanaopenda kuwa juu ya mwanaume, Utakalo wewe ndo lifanyike.....jiandae kuoa na si kuolewa.
Viumbe hawa WAPO, ila you should be very carefully my friend (wochi iti)
Anaweza kufanya hivi kukuteka kiakili ukajikuta unatoa zaidi hapo baadae au akawa na nia njema ya kuzuia matumizi zaidi (tabia na malezi vinahusika) Tafadhari usimhukumu haraka!
Kwa ufupi watu hawa ku_establish eye contact na jinsia nyingine kwao ni mwiko sasa matokeo yake anayejirahisha kwao ni advantage ( Unaliwa hivyo hivyo hata kama uko MP[emoji23][emoji23])
Mi pia naweza vumilia kwani naweza kukaa hata siku 2 au 3 bila hiyo kitu. Lkn wapendwa hii kitu ni muhimu kufanya msione soo kufanya. Ukipata wa kukukuna we mkune zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.