Jamani naomba kujua wale wenzangu tuliomba mafunzo ya ualimu tarajali kwa masomo ya biashara, kama kuna yeyote aliyechaguliwa course nyingine tofauti na aliyoomba! Hii itasaidia watu kujua kama turudi vijijini tukalime au tukomae tusubirie?
Wakuu, kwa wale tuliomba masomo ya biashara Kigoma na Shinyanga, Je kuna aliyechaguliwa course nyingine tofauti na aliyoiomba? na wengine wamechangia kua majina ndio mwisho je vyuo hivyo ndio baasi tena?
Wakuu, wangine tuliomba mafunzo ya ualimu ngazi ya Diploma katika masomo ya Biashara yaani Commerce na Book keeping katika vyuo vya Shinyanga na Kigoma je utaratibu umekuaje hapa katika list ya Nacte au hakuna aliyepata?
Unahisi hizi timu za Africa tukiziweka kundi moja na timu za ulaya au America je ktk makundi ya kugombea kuingia Kombe la dunia tunaweza kupita kweli? Viwango vya juu vya soka vipo ktk mabara ya Ulaya na America hivyo kuleta msisimko naona ni sahihi kwa Africa kua na timu chache hadi pale...
Acheni unafiki Maximo ni mmoja wa makocha wa kiwango cha juu kupata kufundisha hapa Tanzani, fuatilieni link hii muone kama anafanana na Logarusic au Julio Márcio Máximo - Wikipedia, the free encyclopedia
Hizi biashara ukitaka ufaidi, inabidi uwe na kipindi ktk television kisha andaa watu wako wa ushuhuda kisha subiri uone utavyopiga pesa. Jamaa anaongea kama kameza radio! uenda anajipanga atoke vipi tena.
Mkuu, kama ipo ipo tu, kuna kijana alikua anaitwa Abdul Mohamed kama sijakosea, alikua anatangaza Sport Bar na sports extra hapohapo clouds media mbona naye yupo BBC Kiswahili upande wa redio?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.