Jamani huyu mtangazaji nampenda balaa

Jamani huyu mtangazaji nampenda balaa

Hakuna mtu namwonea wivu kama bwanake Magret Cosmas, lolololo....

Nimeenda kwenye kipindi cha malumbano ya hoja kwa ajili yake...Dah nilikuwa naumia sana jamani!!! Ila kwa sasa tupo pazuri ingawa safari kwa kweli ni ndefu dada anaonekana mcha Mungu na muoga sanaaa...ukiongea naye ana aibu mpaka unamuonea huruma!!!!
 
Jamani jamani kama kuna mtu yupo jirani na yule mtangazaji wa itv huwa ansoma tarofa ya habari na kipima joto amejaaliwa nyama nyama alizopewa na mwenyezi Mungu hivi.
Amwambie Inferiority Complex wa JF anachanganyikiwa sana kila anapokuona, yaani kama ukisoma habari huwa ana loose concetration kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Nimetokea kumpenda sn huyu Mtangazaji wa Star Tv/RFA "Christina Mbezi"ila tatizo amegoma kupokea simu zangu...naumia sana.

Fanya hivi mkuu ili umpate Lipa Kwanza,ukisha Fanya hvy lazima ataelewa nia yako njema
 
Last edited by a moderator:
Nimetokea kumpenda sn huyu Mtangazaji wa Star Tv/RFA "Christina Mbezi"ila tatizo amegoma kupokea simu zangu...naumia sana.

Tumepokea promo yako ya kumboost hapa kazini,tutalifanyia kazi tangazo hili na promo yako kama inakidhi vigezo na Elim yake.
Uongozi:Kalahari Media
 
Sauti ya JACQULINE KOMBE clouds inanichanga sana
 
jamani ni kwa nia njema tu msimwelewe vibaya mrembo wawatu...yuko bomba sana,pozi lake ni la asili....dah....
 
kweli kaka naomba radhi sikua na nia mbaya....very sorry....unajua sana kutunza...
 
meseji atapotezea napenda ana kwa ana ila bahati naona kama ndo sina....
 
wachagga noma sana......umenitisha hata akiniita naweza kuchomoa kwenda....
 
Hakuna mtu namwonea wivu kama bwanake Magret Cosmas, lolololo....

Spot on bro. Yule dada....aaaah!
Margaret Cosmas umzuri, basi tu kwa ulivyo lazma una ubavu wako tayari.
 
Nimeenda kwenye kipindi cha malumbano ya hoja kwa ajili yake...Dah nilikuwa naumia sana jamani!!! Ila kwa sasa tupo pazuri ingawa safari kwa kweli ni ndefu dada anaonekana mcha Mungu na muoga sanaaa...ukiongea naye ana aibu mpaka unamuonea huruma!!!!
Duh..kweli vidume nyie ni noma!!!
 
Back
Top Bottom