Report ya mwana Dar es Salaam

Report ya mwana Dar es Salaam

Kumbe mwana daresalama ndo Kiba!
Hako kawimbo sijawah kukasikia kakafika mwisho,sikapendiii kasauti kama ule wa dushelele
 
kiba hana focus wala vision imepita hiyo usipoteze mda haina kubisha .

Kiba anapotezwa na washabiki wake, wenyewe wanamdanganya kuwa hapo halipo kashafika. Anachosubiri ni kufanya video nje then. baada ya hapo kila mtu atamjua duniani.

Anasafari ndefu sana maana iyo mwana ata promotion haijulii au anapuuza kuifanya inavyotakiwa kwa kigezo ye anakubalika bila promo. Aaangalie Kitorondo watu wanaiponda ila wakiwa peke yao wanaiimba mpk wakioga bafuni ikipigwa kwenye maoccasions wanaishangilia,na hawajui kwa nini inakuwa ivyo imewaingia.
 
Ulitaka avae sketi ka madomo?

Diamond anavaa kistaa, ukimuona stejini unakubali uyu ni yule ninayemsikia yani ana-meet expectations. Kiba hayuko simpo ila yupo local ungemuona fiesta ya juzi juzi ungeshangaa, yani kavaa jacket sio jacket ma american buti yamepauka nywele hazijaandaliwa yani unakuta shabiki yupo smart zaidi yake sasa kwa nini wasimchukulie poa ata aimbaje .
 
vp tena kwan kuna mtu kaibiwa....... thooomaaaaaaas

Wimbo wooote wa mdogo mdogo umebebwa kwanzia hapo..

"Usijali mama(mdogo mdogo),
We acha waongee(mdogo mdogo),
Ntakupenda saana(mdogo mdogo),
Mahaba ninyongee(mdogo mdogo),
Usijari lawama(mdogo mdogo)"...

Ila kiukweli tofauti ya nyimbo hizi ni kwamba Mwana ni mziki mkubwa na Mzuri,Kitorondo ni mziki wa kitoto ila mtamu..

Hakuna msanii bongo anaweza andika kitu nzito kama ile mwana..

Cc matumbo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom