Recent content by captain zulu

  1. captain zulu

    The famous goshashy

    Jipatie chupa yako ya the famous goshashy..yenye alcohol 43% for more info contact:- 0713 668 015...
  2. captain zulu

    Pamoja na kuwa na degree nimeishia kuwa kinyozi

    Kaka ukiangalia watu utabaki hapo hapo usifanye kitu kwa kuangalia watu wanakutazama vipi,tumia elimu yako kujiendeleza kwani wakina aliko dangote wametoka wapi.
  3. captain zulu

    Msaada, anayefahamu Chuo cha Urubani

    Naombeni website ya chuo chochote cha urubani kilicho uganda kwa wale wanao vifahamu tafadhari..
  4. captain zulu

    Ndege ya Emirates imegoma kutoa matairi ya nyuma

    In aviation , a touch-and-go landing or circuit is a maneuver that is common when learning to fly a fixed-wing aircraft. It involves landing on a runway and taking off again without coming to a full stop. Usually the pilot then circles the airport in a defined pattern known as a circuit and...
  5. captain zulu

    Ndege ya Emirates imegoma kutoa matairi ya nyuma

    Ndege kubwa uanza kufungua mapema matairi yake
  6. captain zulu

    Ndege ya Emirates imegoma kutoa matairi ya nyuma

    Boeing 787 ckupingi na kuupdate tu mkuu ndio wanayo ileta uku siku hizi
  7. captain zulu

    Baada ya kimya kingi hatimae Abood Bus Service aleta bus mpya!

    Swaiba jaribu kuangalia soko la mabus kwa sasa hayo mabasi ndio yapo sokoni kwa sasa nilijaribu kupitia soko la mabus nikakuta haya sasa sielewi viwanda vingine vipi vinaendelea kutengeneza
  8. captain zulu

    Baada ya kimya kingi hatimae Abood Bus Service aleta bus mpya!

    Kweli bro na ndio gari zipo sokoni kwa sasa
  9. captain zulu

    Sarafu mpya yatolewa leo na BOT

    Acheni siasa za ajabu kwa tsh 200 inapicha ya nani wandugu
  10. captain zulu

    Sarafu mpya yatolewa leo na BOT

    Tv 1 walitangaza kwenye habari yao
  11. captain zulu

    Tanzania becomes Kenya’s largest East Africa market

    Na amini tanzania tunauwezo wakufanya makubwa kama tukiamka kinachoitajika maamuzi tu
  12. captain zulu

    Nimeitwa UNV

    Wa bongo kwa kukatisha watu tamaa ,ila ninge waomba wale wanye ndoto zao kwa nini usifanye kimya kimya kuliko kuleta humu kwanye jf coz ninavyoona ona mimi hakuna msaada humu zaidi ya ujuaji tu kila mtu anajiona bora na elimu yake.Jamani msilizike na iyo mishaara yenu ya utumwa na ivyo vigari...
  13. captain zulu

    BoT watoa scholarships kwa undergraduate & postgraduate 2014/2015

    Kweli kiasi fulani nilikua office juzi boss akaja kuulizwa kama anamtoto mwenye hivyo vigezo...ila jaribuni kila mtu ana bahati yake kinachotakiwa kumtanguliza mungu kwanza..
  14. captain zulu

    Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

    Sipenda uchochezi wadini unahuakika wamemtenga kwa ajili ya dini vip khalima mdee tuweni na busara sometime dini mnaitoa wapi tanzania hapa....
  15. captain zulu

    Picha za Kikwete akiwa daraja la mto Kilombero

    Kweli kaka kunavitu vinarudi kwa kasi uyo atakae kuja ataendeleza kazi ya jk.kwanza hana maneno na mtu
Back
Top Bottom