Nataman mtu,anieleze faida na hasara za kuwa na sarafu, na mapungufu yaliyopo kweny Noti, Nasubr jib
Bado sarafu ya 10,000
Hii tathimini ya wapi kumbe sarafu mpya ikitoka ndiyo uchumi kushuka hiki nacho sijui ni kichwa gani cha huyu jamaa.
Kwanini wameweka picha ya rais wa nchi ya Zanzibar?
Source?
Hiyo lugha gani mkuu?!umell hum
Ingekuwa sarafu ya TSh. 400 ingekuwa vizuri zaidi. Wangekuwa wametuepusha na usumbufu wa makonda kwenye daladala.
Hatari nyingine ni kuiangusha au kuipoteza.Ni bora ukapoteza mia au mia mbili na siyo mia tano itakuuma zaidi hasa ukiwa umepigika.
SARAFU MPYA YATOLEWA: BoT leo imetoa sarafu mpya ya Sh500 itakayoanza kutumika rasmi Oktoba 2014, noti za Sh500 zitatumika hadi mzunguko wake utakapoisha.
![]()