Vipi wakuu,Naomba ushauri,gari ya 1500 cc Mfano toyota premio au allion ulaji wake wa mafuta upoje na je ni economy kwa mazingira ya dar?natanguliza shukrani
MUNGU awabariki wote ambao wanateseka na hili janga la ajira,ila naamini ukiamini katika MUNGU na kufanya maombi sio tu ilimradi uliomba ila kwa moyo na imani kuu hakuna linaloshindikana, iwe katika kazi au biashara, MUNGU ni mwema wanajamvi na mbele ya MUNGU tu wote sawa haijalishi mkristu au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.