Recent content by capachino

  1. C

    Wale tuliowahi kunyatia Dada wa kazi tukutane hapa

    [emoji16][emoji16][emoji16]
  2. C

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Vipi wakuu,Naomba ushauri,gari ya 1500 cc Mfano toyota premio au allion ulaji wake wa mafuta upoje na je ni economy kwa mazingira ya dar?natanguliza shukrani
  3. C

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Eeeeh mie tokea niombe card yapata four weeks hakuna kinacho endelea wizi mtupu.by Marco
  4. C

    Magumu gani umeyapitia/unayapitia katika kutafuta kazi?

    MUNGU awabariki wote ambao wanateseka na hili janga la ajira,ila naamini ukiamini katika MUNGU na kufanya maombi sio tu ilimradi uliomba ila kwa moyo na imani kuu hakuna linaloshindikana, iwe katika kazi au biashara, MUNGU ni mwema wanajamvi na mbele ya MUNGU tu wote sawa haijalishi mkristu au...
  5. C

    Magumu gani umeyapitia/unayapitia katika kutafuta kazi?

    pole sana dada yangu,MUNGU atakufuta machozi.
  6. C

    Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

    kuwa mpole makamba,mambo mazuri yanahitaji subira.
  7. C

    Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

    ndo tunayaweka weka fresh leo au kesho kitaeleweka:cool2:
  8. C

    Mwisho wa dunia!

    Sure aisee
Back
Top Bottom