Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

Naomba mniwezeshe link ya open university wakuu. (ya selected applicants)
 
kwa mwanajamvi aliyekwisha ona link ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa chuo cha mwalimu nyerere memorial academy atupie ama kama ameona majina yametoka atoe info hapa
 
Kuna jamaa yangu pia analia...bado wameandika "in progress" ....ni sheeedaaa!
 
Mkuu vuta subira ndio tupo hapa na vijana wetu wa IT tunamalizia kuondoa multiples selection so nadhan kufikia J3 mambo yote yatakuwa tayari.
 
hawa jamaa kama sio wasomi bhana, mambo gani sasa haya? watoe taarifa kutuambia kipi kinaendelea.

walisema tcu watatoa yote.
tcu nao wameacha kila chuo kitoe vyake wakati huo huo wanaochaguliwa kwa equivalent mf. education ni mmoja tu kwa ud. vyuo vingine hawazidi kumi sasa hatuelewi.

Nacte huu ni uhuni bhana
 
Back
Top Bottom