Binti Kiziwi nakuelewa sana ulichokiandika lakini practically hatuendi hivyo! Ndoa ni ngumu na huo uzungu wako kwenye ndoa wengi hawaufuati usimshauri mwenzio hilo. Do you know how difficulty to get divorce paper in Tanzania? Without it will you be free and happy!? tatizo la ndoa la huyu mdada...
masai dada,
Pole sana dada! Heri ya mwaka mpya 2020
Suala la mumeo kukwambia nyumba ni ya mtoto linatokana na alichosikia either kutoka kwa marafiki zako au ndugu zako, huenda ikawa unaongelea sana hiyo nyumba na huenda ukawa unaongelea kwa mazuri hauna maana mbaya ya kuwa unaifikiria sana...
Hii kitu ni sahihi na hutokea kwa wale wasongo pekee! Mie nilikuwa Mazengo Tech kwenye somo la Technical drawings ilikuwa imebakia nusu saa na mchoro nilikuwa naweza kuufanya ila tulikuwa tunatakiwa kuchora kwa vipimo plan view, front elevation na rear view! Acha kabisa hii story imenikumbusha...
Evelynsalt ametendwa, hana tena huruma na wanaume. Kwa alivyokuwa ana comment sikuwaza kama anaweza kuwa anapenda kindezindezi hivyo! Hii inaonyesha kibuti alichopigwa kimemfanya awe gaidi kwa wanaume.
Pole sana engineer! Inaonyesha alishatolewa hiyo bikra na anaona soo ndio maana kaamua akumwage mapema kabla haujashtuka, ulionyesha udhaifu mkubwa kukubali kubadili dhehebu! Tunajifunza kutokana na makosa, achana nae, piga shule then tafuta kazi utashangaa atarudi na uongo mwingi, akija gonga...
Wazazi huwa wako sahihi mara kwa mara kwenye suala hili, nilifanya kosa kama unalotaka kufanya sasa hivi, ninajuta! Hakuna kitu kigumu kama kudai talaka hapa Tanzania na ukute mwanamke king'ang'anizi hautakaa usahau, you may start a new life after 5 years. Usidharau ushauri wa wazazi ingawaje...
Huo ubalozi ni tatizo halafu huyo dada wa mapokezi sijui nimuelezee vp, hana kauli nzuri, sijui tatizo ni lugha au? Ni wa Ethiopia nahisi! Mie nilitumiwa after six months! It was weird!
Mi nilikuwa nakaa isevya ila nasoma cheyo A. Mmenikumbusha mbali sana! Watoto wa kike wa mzee kagoma walikuwa wazuri sana kwa sababu ya rangi na watoto wa kiume walikuwa watemi sana. Nakumbuka tulikuwa tunacheza mpira (chandimu) mtendeni shule ya msingi, nikampiga kanzu na kisha nikamgeuza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.