Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,779
- 26,074
Nimeuliza nchi, nimebisha wapi? Kuna mwenzako amesaidia zaidi, ametaja nchi ya UK.
Maelezo ya UK yanasema: In some cases an immigration test may be requested by the Home Office if birth, marriage certificates or other documents are not available or do not meet the requirements of the immigration authorities in the UK.
Kwa hiyo hii DNA requirement ni kwa ajili ya jitu linaenda pale halina hata cheti cha kuzaliwa cha mtoto au ana cheti haki meet standards, kimeandikwa kwa Kisomalia kwa mfano. Of course watakuambia ujaribu ku shore up your supporting documents.
Birth Certificate ya Tanzania, kwa mfano, template yake ililetwa na Waingereza wenyewe zamani za kale, itakuwa vigumu kusema hawaielewi.
Na si vyeti tu, pia paternity na maternity test inafanywa wakitaka kuhakikisha kama kuna uhusiano wa damu.
Na kesi ya jamaa inaangukia hapo, maana alitaka kuwapeleka watoto wake wote 4 Ulaya pamoja na mama yao!