Mi nilikuwa nakaa isevya ila nasoma cheyo A. Mmenikumbusha mbali sana! Watoto wa kike wa mzee kagoma walikuwa wazuri sana kwa sababu ya rangi na watoto wa kiume walikuwa watemi sana. Nakumbuka tulikuwa tunacheza mpira (chandimu) mtendeni shule ya msingi, nikampiga kanzu na kisha nikamgeuza kwa tobo mtoto wa mzee kagoma, alikuwa anaitwa Bias nikashangaa akaanza kunipiga ( nilipigwa ngumi na kichwa kwa kumtoa nishai).
Mnakumbuka watoto wa mitaa ya bomba mzinga wakina Mugisha walivyokuwa wakorofi? Kuna kademu katoto ka kwa munene- Jaquiline nilimu approach ila nikasitisha kwa sababu alitaka kwanza apajue home kwetu, nikawa namkwepa kwa sababu kwetu ni choka mbaya!
Nakumbuka tena kuna msichana wa kihindi (Rahma) nilikuwa nampenda cheyo A primary school lakini nilikuwa domo zege, nikawa najiongelesha mambo mengine tofauti kwa muda mwingi ili watu wajue ni mtu wangu! Ha ha ha! Mwl Jacob nae alikuwa anamtaka akahisi labda nakula mzigo, nilikuwa nachezea fimbo za kutosha mpaka nilipokuja kushtuka ndio nikapunguza mazoea na Rahma. Mwl mkuu wetu kipindi hicho alikuwa Mwl Mlekwa.
Dr. Kobelo alikuwa anakaa nyuma ya shule yetu na mke wake alikuwa kutoka Russia.
Kisima cha kilimbika ndio kilikuwa kisima chetu kwa ajili ya kuchota maji.
Mitaa ya isevya, mzee shirima ndio alikuwa tajiri maeneo yale miaka ile na kulikuwa na mtoto wake wa kike Neema shirima alikuwa mzuri sana na anapenda sana masela! Kei na Tito shirima ndio walikuwa agemate wangu!
Nakumbuka mwizi maarufu Shantongo alichomwa moto miaka ya 90's.
Mapadre wa kanisa katoliki ipuli walikuwa wanakula mademu kilaini sana, wale wazungu hawakuwa ma-player.
Nakumbuka tulikuwa tunaenda Tabora hotel kushindana kucheza disco la watoto ili kupata kreti la soda kwa mshindi wa kwanza! Wakubwa walikuwa juu kipindi hicho walikuwa ni Bob wizard na Major. Bob wizard alikuwa mzuri kwa nyimbo za Michael Jackson. Sijajua hawa jamaa wako wapi?
Muungano mess masoja yalikuwa yanatufukuza watoto ikifika saa moja usiku!
Nasikia Tabora panaendelea kwa kasi kwa sasa ila isevya imegoma kuendelea, wachawi ni wengi mno kule!
I miss Tbr since 1995. I miss TZ since 2011.
Mnakumbuka watoto wa mitaa ya bomba mzinga wakina Mugisha walivyokuwa wakorofi? Kuna kademu katoto ka kwa munene- Jaquiline nilimu approach ila nikasitisha kwa sababu alitaka kwanza apajue home kwetu, nikawa namkwepa kwa sababu kwetu ni choka mbaya!
Nakumbuka tena kuna msichana wa kihindi (Rahma) nilikuwa nampenda cheyo A primary school lakini nilikuwa domo zege, nikawa najiongelesha mambo mengine tofauti kwa muda mwingi ili watu wajue ni mtu wangu! Ha ha ha! Mwl Jacob nae alikuwa anamtaka akahisi labda nakula mzigo, nilikuwa nachezea fimbo za kutosha mpaka nilipokuja kushtuka ndio nikapunguza mazoea na Rahma. Mwl mkuu wetu kipindi hicho alikuwa Mwl Mlekwa.
Dr. Kobelo alikuwa anakaa nyuma ya shule yetu na mke wake alikuwa kutoka Russia.
Kisima cha kilimbika ndio kilikuwa kisima chetu kwa ajili ya kuchota maji.
Mitaa ya isevya, mzee shirima ndio alikuwa tajiri maeneo yale miaka ile na kulikuwa na mtoto wake wa kike Neema shirima alikuwa mzuri sana na anapenda sana masela! Kei na Tito shirima ndio walikuwa agemate wangu!
Nakumbuka mwizi maarufu Shantongo alichomwa moto miaka ya 90's.
Mapadre wa kanisa katoliki ipuli walikuwa wanakula mademu kilaini sana, wale wazungu hawakuwa ma-player.
Nakumbuka tulikuwa tunaenda Tabora hotel kushindana kucheza disco la watoto ili kupata kreti la soda kwa mshindi wa kwanza! Wakubwa walikuwa juu kipindi hicho walikuwa ni Bob wizard na Major. Bob wizard alikuwa mzuri kwa nyimbo za Michael Jackson. Sijajua hawa jamaa wako wapi?
Muungano mess masoja yalikuwa yanatufukuza watoto ikifika saa moja usiku!
Nasikia Tabora panaendelea kwa kasi kwa sasa ila isevya imegoma kuendelea, wachawi ni wengi mno kule!
I miss Tbr since 1995. I miss TZ since 2011.