Kabila hutokana na mazingira pia. Muhaya yuko jinsi alivyo kwa kuwa mazingira ya Bukoba yalimfanya awe hivyo. Sasa kahamia Darisalama na amezaa watoto unadhani watoto wale watakuwa watu wazima wa Kihaya kamilifu? Hata ulaya walikuwa na makabila kama sisi lakini nyakati haziko tena kama zama hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.