Kenya Receives 55,000 tonnes of Relief Food From China

Hatupiganii unga sie tuna stock ya kutosha
U have a more diversified diet than Kenyans. I am not even sure what id there is such thing as Tanzanian staple food. Most Kenyana cannot accept rice as their food for the day.

Shortage n hunger are two different things, on a scale usually starts shortage then comes hunger when government lacks food reserves to cushion her people from effects of drought. Drought also affected Tanzania just like the rest of EA bit believe me our stocks have had plenty of food to even feed Kenya.

Geza, let us stop this. We got a problem. U are being insenstive to the sufferinga of your other fellow Tanzanians.

Tanzania: Survey Finds Most Tanzanians Go Hungry, Despite Govt Denials

http://www.ippmedia.com/en/news/study-most-tanzanian-population-faces-real-hunger
 
U have a more diversified diet than Kenyans. I am not even sure what id there is such thing as Tanzanian staple food. Most Kenyana cannot accept rice as their food for the day.



Geza, let us stop this. We got a problem. U are being insenstive to the sufferinga of your other fellow Tanzanians.

Tanzania: Survey Finds Most Tanzanians Go Hungry, Despite Govt Denials

Study: Most of the Tanzanian population faces real hunger
It doesn't help u when u take news of 2 years old after our attentive government sorted out the food deficiency on some part of the country. The underlying fact is food in Tanzania is cheapest compared to the whole of EA. And no one died of hunger n no one fights for unga. On ur defence ati unga is staple in Kenya r u trying to mean those fighting for unga will afford rice in that Kenya? Or will refuse to buy rice if was cheaper that Unga for ugali at this hunger moment?
 
It doesn't help u when u take news of 2 years old after our attentive government sorted out the food deficiency on some part of the country. The underlying fact is food in Tanzania is cheapest compared to the whole of EA. And no one died of hunger n no one fights for unga. On ur defence ati unga is staple in Kenya r u trying to mean those fighting for unga will afford rice in that Kenya? Or will refuse to buy rice if was cheaper that Unga for ugali at this hunger moment?
I am smatter than that. It means u havent even bothered to click on the links. Those are 2017 nwws my frirnd!

2015 or not, if the situation was that bad then, how bad is it now with the drought the region has never seen since 20yrs ago?
 
I am smatter than that. It means u havent even bothered to click on the links. Those are 2017 nwws my frirnd!

2015 or not, if the situation was that bad then, how bad is it now with the drought the region has never seen since 20yrs ago?
N yet ur brothers r crossing the border to access affordable maize
 
Nyinyi, hali si nzuri hata hapo Tz. Kuna uhaba wa chakula kutokana na ukame. Tuache kuchekeleana.

Tanzania: 78% of People Affected By Food Shortages - Study

Tanzania ni kubwa sana Aganza. Amini usiamini, mimi Mkenya, kamwe sijawaji kushuhidia ukosefu wa chakula, wstu wakiwa na njaa, haya ni mambo huwa naona tu kwenye viombo vya habari eti sehemu fulani Kenya kuna uhaba.

Nairobi chakula kingi tu. Huko kwetu Western kuna vyakila.

Lakini sipingi ukweli ya kwamba kuna maeneo hayana. Ni hivyo hivyo hapo Tanzania.

Wala viwavi jeshi kuikabili njaa | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today


Naomba nikusahihishe kitu!

Links ulizozileta zote zinaongelea hali iliyokuwepo kabla ya mavuno ya masika! Imagine report ya March 2017 wakati sa hz ni June! Mavuno ya masika yamefanyika kuanzia may na mpaka sasa kila eneo watu wanaendelea kuvuna na suala la njaa hakuna kabisaaaa!

Kama una record za mwezi huu hebu zilete hapa badala ya kutumia rekodi za nyuma!

Last month mwishoni nilikuwa maeneo ya kanda ya ziwa, nikakuta serikali inasambaza chakula kwa wananchi baada ya ghala la taifa la ukanda huo kujaa hivyo ikabidi kisambazwe kwa wananchi!


Kwa hiyo kwa sasa tz tuna chakula cha kutosha sana! Wala hatuna shida na chakula
 
I am smatter than that. It means u havent even bothered to click on the links. Those are 2017 nwws my frirnd!

2015 or not, if the situation was that bad then, how bad is it now with the drought the region has never seen since 20yrs ago?
Ni news za March 2017, hiyo ilikuwa ni baada ya kipupwe kirefu kilichokumba ukanda wote wa EA, sa hz tuna msosi wa kutosha! na zaidi
 
Poleni sana ndugu zetu Wakenya.

Tunamuomba Allah awaepushie janga la njaa.

Wale wa umri wangu watakumbuka janga la njaa lililitokumba Tanzania mpaka tukalishwa kwa mara ya kwanza kwa unga wa njano (Yanga) tulioletewa kama msaada na USA. Huo ulikuwa ni wakati wa marehemu Nyerere.

Ni heri yenu mmepata msaada wa mchele.

Na still Nyerere akakupa shule, hosptitali free of charge leo unamnanga kwa kuwa havai Hijjabu kama wewe?
 
N yet ur brothers r crossing the border to access affordable maize
Maize flourvis currently more expensivevin Tanzania than in Kenya.
Tgere is hardly any maize coming from Tanzania, whicg is fuelling the current shortage in Kenya.
 
Ni news za March 2017, hiyo ilikuwa ni baada ya kipupwe kirefu kilichokumba ukanda wote wa EA, sa hz tuna msosi wa kutosha! na zaidi
That was two months ago. Within those two months mumeshapanda vyakula na kuvuna?

Kama drought ndio ilisababisha huo ukosefu wa chakula Tanzania, mnadhani ni nini kimefanya mahindi kukosekana Kenya kwa hivi sasa, kiasi ya baadhi yenyu kushinda humu mkitusimanga ati Kenya kuna njaa?

Hili ni shinda imekumba eneo ñzima, karibu nusu ya ssAfrica, hamna haja ya kuchekeleana.
 
That was two months ago. Within those two months mumeshapanda vyakula na kuvuna?

Kama drought ndio ilisababisha huo ukosefu wa chakula Tanzania, mnadhani ni nini kimefanya mahindi kukosekana Kenya kwa hivi sasa, kiasi ya baadhi yenyu kushinda humu mkitusimanga ati Kenya kuna njaa?

Hili ni shinda imekumba eneo ñzima, karibu nusu ya ssAfrica, hamna haja ya kuchekeleana.
Indeed it was 2 months ago! Lakini kama nikufahamishe kuwa mvua za masika kwa maeneo mengi Tanzania zimenyesha kuanzia late February! Na hapo wakulima wakapanda nafaka! Nikukumbushe kuwa nafaka nafaka nyingi hukomaa within 90 days from sowing/planting.

Sasa angalia kuanzia late February hadi leo hizo nafaka si zimeisha mashamabani? Ndio hali halisi iliyopo sa hizi!

Nikukumbushe pia kuwa Tz ina zones tofsuti ambazo zina hali ya hewa tofauti! maeneo ya mikoa ya iringa, njombe, mbeya, morogoro, songwe na kigoma hayakuathirika na huo ukame! Wao walikuwa wanaendelea kulima kipindi chote hicho, hivyo kiasi kilichozalishwa huko kilitosha kabisa kulisha mikoa mingine!


Kwa nyongeza zaidi na faida yako ni kuwa hapa tz tuna mikoa ya kitaifa ya uzalishaji chakula, ipo mikoa mitano, tuseme sita baada ya mmoja kugawanywa! Mikoa hii huzalisha chakula cha kutosha kulisha nchi nzima hata kama mikoa mikoa mingine haitalima! Na mikoa hii hata kipindi hiki cha ukame haikutetereka kamwe!
 
Pia labda nikusaidie suala moja Iconoclastes ambalo labda wakenya wengi hamlijui!


Suala lenyewe ni kuhusu hizo report ulizoleta za hapo nyuma zikionyesha uwepo wa njaa tz!

Ni hivi,
Ukiangalia hizo report zote zinaongelea sana sana maeneo ya vijijini! Sasa kwa kawaida Tanzania maeneo ya kijijini huwa watu hawana utaratibu wa kununua chakula kabisaaa maana wanalima chakula cha kuwatosha hadi kuuza ziada!

Kwa lugha nyingine ni kuwa huku Tanzania watu wa vijijini huwa wanauza chakula sio kununua chakula, kwanza huwa ni kama aibu kaya kuonekana imepungukiwa na chakula!

Sasa ukame uliopita ulisababisha chakula walichokuwa nacho wakulima kuisha na kilicholimwa kutovunwa! Hivyo hapa wanakijiji walitakiwa kununua chakula kutoka kwa wauzaji ambao walikisafirisha kutoka maeneo jirani!

Sasa kama nilivyosema kwa mtu wa kijijini kununua chakula wakati hajazoea, hiyo lazima ataita ni njaa ndo maana walikuwa wakiulizwa walikuwa wanasema wana njaa! Kwa watu wa mjini ambao hawalimi wala hawalalamiki maana kununua ndo kawaida yao,

Lakini hali halisi ni kuwa chakula cha kununua kilikuwa kingi sana na mpaka kinabaki na hakuna mtu alikosa chakula cha kununua huku akiwa na hela! Ni vile tu mazoea ya kununua chakula hayakuwepo ndo maana watu wakalalamika!

Hali hii ni tofauti kidogo na hapo Kenya ambapo hata kama mtu alikuwa ana hela anaweza kukosa chakula cha kununua au kununua kwa kuwekewa ukomo!
 
Pia labda nikusaidie suala moja Iconoclastes ambalo labda wakenya wengi hamlijui!


Suala lenyewe ni kuhusu hizo report ulizoleta za hapo nyuma zikionyesha uwepo wa njaa tz!

Ni hivi,
Ukiangalia hizo report zote zinaongelea sana sana maeneo ya vijijini! Sasa kwa kawaida Tanzania maeneo ya kijijini huwa watu hawana utaratibu wa kununua chakula kabisaaa maana wanalima chakula cha kuwatosha hadi kuuza ziada!

Kwa lugha nyingine ni kuwa huku Tanzania watu wa vijijini huwa wanauza chakula sio kununua chakula, kwanza huwa ni kama aibu kaya kuonekana imepungukiwa na chakula!

Sasa ukame uliopita ulisababisha chakula walichokuwa nacho wakulima kuisha na kilicholimwa kutovunwa! Hivyo hapa wanakijiji walitakiwa kununua chakula kutoka kwa wauzaji ambao walikisafirisha kutoka maeneo jirani!

Sasa kama nilivyosema kwa mtu wa kijijini kununua chakula wakati hajazoea, hiyo lazima ataita ni njaa ndo maana walikuwa wakiulizwa walikuwa wanasema wana njaa! Kwa watu wa mjini ambao hawalimi wala hawalalamiki maana kununua ndo kawaida yao,

Lakini hali halisi ni kuwa chakula cha kununua kilikuwa kingi sana na mpaka kinabaki na hakuna mtu alikosa chakula cha kununua huku akiwa na hela! Ni vile tu mazoea ya kununua chakula hayakuwepo ndo maana watu wakalalamika!
!

Kenya maeneo mengi jijijini watu hupanda mimea ya vyakula. Kila ripoti utakayosoma kuhusu hali ya njaa nchini Kenya huashiriavya kwamba ni maeneo kame yenye jangwa kazkazi mwa Kenya, maeneo kama Turkana ama yale maeneo yenye jamii ya kuhamahama, maeneo yenye wakimbizi wengi kutoka nje ndio huathirika na janga hili.

Ugali wa mahindi ndicho chakula kinachopendwa zaidi huku.
Shinda ni, katika maeneo mengi, mahindi hayakuwi vizuri sana, hivyo mavuno huwa madogo na Kenya huagiza mahindi kutoka nje

Kila mara kuna uhaba wa chakula, ripoti husema ni watu chini ya 2milioni wako kwenye tishio ya kuangamia kutokana na njaa, na sasa hiyo ni asilimamia ngapi ya watu wa Kenya?

Ni upotovu mkubwa kila mnapodai ati Tanzania imejitosheleza vyema kwa chakula ilhali karibia kila mwaka, ripoti za mashirika kama Fao na Wfp huonyesha hali ya lishe nchini humo jinsi ilivyo mbovu!


Hali hii ni tofauti kidogo na hapo Kenya ambapo hata kama mtu alikuwa ana hela anaweza kukosa chakula cha kununua au kununua kwa kuwekewa ukomo!
Propaganda!

Ni wapi Kenya mtu hukosa chakula akiwa na hela? Hili linafinyika tu mwaka huu kutokana na ukosefu wa unga wa mahindi ( na ni mahindi tu), mimi hili hata ni mara yangu ya kwanza kushuhudia jambo hili. Vyakula vingine viko vya kutosha tu, lakini wakenya wanapenda msosi wao wa ugali. Lakini mahindi yamekosekana, na kwa sasa unga unauzwa kwa mgao.
 
Watu weusi tuna matatizo sana. Yaan watu bilion 1.3 wana uhakika wa kula ila watu milioni 50 hawana!? The 'best' country in East Africa should be ashamed of this.
 
Poleni sana ndugu zetu Wakenya.

Tunamuomba Allah awaepushie janga la njaa.

Wale wa umri wangu watakumbuka janga la njaa lililitokumba Tanzania mpaka tukalishwa kwa mara ya kwanza kwa unga wa njano (Yanga) tulioletewa kama msaada na USA. Huo ulikuwa ni wakati wa marehemu Nyerere.

Ni heri yenu mmepata msaada wa mchele.
Lengo lako lilikuwa umtaje Nyerere tu hapo
 
Sababu kubwa ya upungufu au ukosefu wa chakula kwenye nchi zetu mara nyingi ni sababu ambazo ziko nje ya uwezo wetu kama ukame, mvua zilizopitiliza and other extreme weather events. Mwaka huu Mungu ametubariki TZ tukapata mvua za kutosha na mimea ikastawi na sasa tunaendelea kuvuna. Ninaamini kama mvua zisingenyesha kungekuwa na uhaba mkubwa wa chakula.

Kenya na TZ hatuwezi kuchekana when it comes to food shortages. Mara zote shida ya chakula inapotokea inaonyesha jinsi ambavyo hatujajiandaa. Hebu tujiulize kama mvua zisingenyesha tungekuwa katika hali gani? What emergency plans have we put in place? Tulikuwa na chakula cha kutosha kwenye maghala ya taifa kujitosheleza au na sisi tungeanza kutembeza bakuli?
 
Kenya maeneo mengi jijijini watu hupanda mimea ya vyakula. Kila ripoti utakayosoma kuhusu hali ya njaa nchini Kenya huashiriavya kwamba ni maeneo kame yenye jangwa kazkazi mwa Kenya, maeneo kama Turkana ama yale maeneo yenye jamii ya kuhamahama, maeneo yenye wakimbizi wengi kutoka nje ndio huathirika na janga hili.

Ugali wa mahindi ndicho chakula kinachopendwa zaidi huku.
Shinda ni, katika maeneo mengi, mahindi hayakuwi vizuri sana, hivyo mavuno huwa madogo na Kenya huagiza mahindi kutoka nje

Kila mara kuna uhaba wa chakula, ripoti husema ni watu chini ya 2milioni wako kwenye tishio ya kuangamia kutokana na njaa, na sasa hiyo ni asilimamia ngapi ya watu wa Kenya?

Ni upotovu mkubwa kila mnapodai ati Tanzania imejitosheleza vyema kwa chakula ilhali karibia kila mwaka, ripoti za mashirika kama Fao na Wfp huonyesha hali ya lishe nchini humo jinsi ilivyo mbovu!



Propaganda!

Ni wapi Kenya mtu hukosa chakula akiwa na hela? Hili linafinyika tu mwaka huu kutokana na ukosefu wa unga wa mahindi ( na ni mahindi tu), mimi hili hata ni mara yangu ya kwanza kushuhudia jambo hili. Vyakula vingine viko vya kutosha tu, lakini wakenya wanapenda msosi wao wa ugali. Lakini mahindi yamekosekana, na kwa sasa unga unauzwa kwa mgao.
Labda nikuulize, ushawahi kuona nchi ambayo haijitoshelezi kwa chakula ikauza chakula nje ya nchi? Mara ngapi tumekuwa tunawauzia chakula hapo Kenya? Hivi huwezi kujiuliza kama tungekuwa na huo uhaba iweje tuwauzie? Mda mwingine hizo unazoita report uwe unafikilia mara mbili kabla hujaamua! Watu wwngine wana matakwa yao binafsi!

Mpaka September 2016 Tanzania ilikuwa na chakula cha ziada hadi wabunge wakalalamika kuwa serikali itoe idhini wakulima wauze chakula nje ya nchi maana kilikuwa kinaharibika kwenye maghara, na serikali ilikubali wakulima wakauza nje, hata hapo Kenya mahindi yaliletwa mengi sana kipindi hicho!

Serikali kuruhusu chakula kuuzwa nje ya nchi


Sasa iweje nchi moja sehemu nyingine chakula kiharibikie kwenye maghara harafu liibuke shirika liandike kuwa watu wana njaa


Kuhusu watu kununua chakula Kenya kwa kikomo, hiyo ngoja ntakuletea ushahidi maana kile chakula mlichoenda kununua Israel watu walikuwa hawaruhusiwi kununua as they please! Kulikuwa na limit kwa siku! Ntakuletea ushahidi
 
Back
Top Bottom