Huu ugonjwa ni wa wengi. Mi hata kupokea najioneaga tabu inaita hadi inakata alafu baadae nikijiskia natuma sms au napiga. Wakati mwingine nawazaga niuze simu ili nisipigie watu
We unamjua mhindi vizuri wewe...huingii kizembe kwenye biashara yake wana dawa zao hatari. Unaweza kuingia kwenye duka lake km nia yako mbaya unadondoka hapohapo. Washirikina hatari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.