Recent content by Cacs

  1. Cacs

    Wale wagumu wa kupiga simu tukutane hapa

    Huu ugonjwa ni wa wengi. Mi hata kupokea najioneaga tabu inaita hadi inakata alafu baadae nikijiskia natuma sms au napiga. Wakati mwingine nawazaga niuze simu ili nisipigie watu
  2. Cacs

    Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

    Ila we jamaa...duh...mazalau,mashishi,kamirika...dah
  3. Cacs

    Nilikuwa napuuza 'Chuma Ulete', leo yamenikuta

    We unamjua mhindi vizuri wewe...huingii kizembe kwenye biashara yake wana dawa zao hatari. Unaweza kuingia kwenye duka lake km nia yako mbaya unadondoka hapohapo. Washirikina hatari
  4. Cacs

    Mama Samia ni Amir jeshi Mkuu au Amirat Jeshi Mkuu?

    Halina uume wala uuke...sio ukike[emoji38]
  5. Cacs

    Ole wao wafanyao karamu kwenye misiba ya wenzao

    Kila nafsi itaonja umauti
  6. Cacs

    Kusubiria ahadi za Mungu inachosha bora mtu ufanye maamuzi magumu

    Dhana ya kumuomba Mungu sio kukaa na kusubiri john. Mungu anakuongoza tu kufikia kile alichokuandalia ila wewe inabidi uhangaike kukifikia.
  7. Cacs

    Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

    [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]pole sana mkuu
  8. Cacs

    Ni jambo gani lilifanywa siri na mpenzi wako na baada ya kulifahamu ulichukua uamuzi gani?

    Nikisema atanijua. Ila alijitahidi kuficha kwa miaka mi5
  9. Cacs

    Ndoa ya Queen Darleen Chalii

    Familia ya kiki, kila kitu kiki. Ila kama ni kweli ntafurahi sana
Back
Top Bottom