Recent content by cacasi

  1. C

    Imeniuma sana, nimevumilia sana, sasa nimechoka

    kimbia kabisa na usigeuke nyuma ...
  2. C

    Maalumu kwa watu wazima tu!!

    kitu muhimu ni hisia zako tu kama alivyosema hapo juu somebody daudimtwale ....pia mwanaume usiwe jogoo kuwa na pumzi ya kwenda extra miles usiwe na haraka ya kushusha mzigo wako mapema peleka slowly pump inside outside till she cum then hapo shusha mzigo wako taratibu kwa maneno matamu na...
  3. C

    Baby nipo nakuja na taksi na sijalipa, ananidai 20,000

    mapenzi ya mujini mujini hayo kaka ......inapendwa pochi tuuuuuu mengine ni mbwebwe tu.....chukua hatua ama kuendelea kuwa nae au kuchapa lapa kaka ....
  4. C

    Namkumbuka lakini simtamani

    mapenzi mabaya na kama show yake ilikuwa sio ya kitoto kumkumbuka ni wajibu mdada pamoja na mapungufu yake ya wivu kiroba kizima
  5. C

    Daraja la Ruvu halipitiki sababu ya maji ya Mvua - Magari ya Mikoani yakwama

    mvua nzuri sana ila ikizidi inaleta madhara poleni sana abiria mliokwa njiani
  6. C

    Sizielewi sehemu hizi za siri

    pole mrembo, shukuru mungu kwa kila jambo, kuna wanawake au mabinti wanatafuta hata hiyo ndogo uliyonayo na hawaipati wamebakia kuchezea maji ya moto tu, tena usirudie kwenda kuonja hiyo mitaribo kwa hakuna awali mbovu, take it my dear
  7. C

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    kuna dawa inaitwa harakati iko kwenye chupa ya plastic inapatika hapo kariakoo kwenye maduka yanayouza madawa ya asili chupa moja tsh 3000 unatakiwa kunywa chupa4,ni nzuri sana binti amemsadia sana kwani sasa anakula hata maharage
  8. C

    Hivi Kenya wanawake wameisha mpaka wanaume kufanya mapenzi na wanyama?

    ukishanga ya musa utaona ya firauni, yaani watu tutaogopa kula hata hao kuku
  9. C

    Kila mwanamke ana dream ya kuwa na bwana wa Kisukuma

    Duh!!!! Bhangosha milelemo iliohoyi.....
  10. C

    Kila mwanamke ana dream ya kuwa na bwana wa Kisukuma

    yakokumiwa itashiranga mnsie.....,
  11. C

    MENOPAUSE: Kumbe tunapochukua dogodogo tunachangia...........

    Oyeeeeeeeeeeeeeee, Kwani utu uzima dawa ati, Wazee wetu walisema, Pia ngoma ya kitoto huwa haikeshi
  12. C

    Sijui ni mapepo Au nini! I THINK NINA PEPO LA NGONO.

    pole Dr , kwani kuna watu wengine wenye mtazamo kama wako ambao wanakimbilia hao under 18 , kumbe siku hizi hao watoto wadogo wanatembea watu wazima wenye umri kama kaka zao au baba zao, sasa hapo hutaraji kuukwaa tu Dr, katika hiyo list yako ya wachumba 100. Pls watch ur steps Cha muhimu acha...
  13. C

    Jina la Mtaa maarufu huko Kinshasa...

    ama kweli haya majina yana utata kweli, labda kwao huko ni jina la mtu maarufu, kwani hapa Taz kuna mkoa mmoja wa kaskazini kuna majina ambayo ni pacha na hilo jina la mtaa huo, na maisha yanasonga mbele na hata redioni wkt wa vipindi vya msiba hilo jina hutamkwa
  14. C

    Nisamehe MWALIMU sirudii tena

    picha hiyo inatukumbusha mbali enzi za viboko, viboko ni vizuri katika kumrudi mtoto vinapotolewa vichache, kwani hata kwenye biblia inahimiza kumpa mtoto bakora kidogo ili kumrudi
  15. C

    Mathematics...This student must be genius.

    Duh huyo mwanafunzi kiboko kweli ametisha kwa kutoa alichokuwa anafikirilia kichwani kwake,
Back
Top Bottom