miss wa kinyaru
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 542
- 356
si ndo atachonga mzinga kwa huyo mwenye size anayotakaNa ukishamaliza kuonja nakuapia huto acha kuonja mwishowe utachonga mzinga kabisa..
si ndo atachonga mzinga kwa huyo mwenye size anayotakaNa ukishamaliza kuonja nakuapia huto acha kuonja mwishowe utachonga mzinga kabisa..
Habari wanakijiwe,
Mimi ni msichana nina boifrend ambaye ananipenda sana na tumekuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu. Sasa tatizo la uyo boyfriend jaman ni kwamba ana mboo ndogoo kiasi kwamba si-enjoy kabisa yan sihisi chochote akiingiza.
Mwanzoni wakati tunaanza mapenzi sikugundua hilo sababu yeye alikuwa mwanaume wangu wa kwanza.
Nisaidieni jamani, je naweza kumsaidia kuongeza sehemu zake coz nampenda na kwa sasa anataka tuoane lakini nakuwa na mashaka na hilo tatizo.
Habari wanakijiwe,
Mimi ni msichana nina boifrend ambaye ananipenda sana na tumekuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu. Sasa tatizo la uyo boyfriend jaman ni kwamba ana mboo ndogoo kiasi kwamba si-enjoy kabisa yan sihisi chochote akiingiza.
Mwanzoni wakati tunaanza mapenzi sikugundua hilo sababu yeye alikuwa mwanaume wangu wa kwanza.
Nisaidieni jamani, je naweza kumsaidia kuongeza sehemu zake coz nampenda na kwa sasa anataka tuoane lakini nakuwa na mashaka na hilo tatizo.
haya ndio matizo ya kuchungulia nje umeshaona mengine huko vumilia sasa
Kama umesharirikiana na watu zaidi ya watano kwenye tendo la ndoa (ambako nahisi ndiko umepatia ujuzi) hustahili kuita kiungo hicho sehemu za siri bali ni mali ya umma chini ya wizara ya utalii na burudani na kama umesharuka na zaidi ya nane ita kabisa mali ya umoja wa mataifa division ya misaada. Ila km idadi imevuka kumi unastahili kuburuzwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya neno sehemu za siri!
ukubwa na udogo wa kijiko unategemea mdomo unatanuka kiasi gani!
kijiko kilipokuwa kidogo mdomo ulitosha na ulitanuka sawa sawa na kikatosha uzuri tu!Haya sasa . . . . teh teh!
Mi chichemi.
kijiko kilipokuwa kidogo mdomo ulitosha na ulitanuka sawa sawa na kikatosha uzuri tu!
kimekuja kijiko cha supu na chenyewe mdomo umepokea vizuri tu!
nini mbaya akiukunja tena ukawa viringe ili kijiko cha chai kibane!
hawa watoto bana!haya mapenzi sijui huwa mmekaririshwa ni kanuni ya pai
aaargh!
Unashauri nini dada, turudi kwenye jando na unyago au ni vyema tu waendelee kudowea kwenye "CHICKEN" party? teh
midhali mmeamua kuicheza ngoma ya wakubwa basi na myajue matao na kunga zake
fusho lake chafya jamani!
huijui mizungu kiti wamwitia nini!
ahahahhahha i meant tht though!Kwa sasa hilo ni la mtoa maada sio langu!