Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
Oyeeeeeeeeeeeeeee, Kwani utu uzima dawa ati, Wazee wetu walisema, Pia ngoma ya kitoto huwa haikeshiWatu wazima hoyee
Watu wazima hoyee
Ziiiii!
He he he, likupate popote ulipo
Kumbe nawewe bongo fleva?
Ndio, ila ni bongo fleva wa 70's!
Ngoja ukue kue kwanza, ukiwa bongo fleva wa 60's niambie
Hapa bibiye ana mapenzi kweli na huu uso uliokunjamana au properties zinazomilikiwa na hiki kizee?
Tabu yako wewe baba yako anapokuita "mama" wewe unavimba kichwa unaamini kuwa wewe kweli ni mama yake (which means unaji-categorize kuwa ni 60's).
Mie kibabu mwenzio, shauri yako!
hakuna wa kumuonea huruma kwani ikifika zamu yake naye atampata yule atokaye kwa Bwana Mungu, so kuoneana huruma kumetoka wapi bestito?
aaaah wapi siku hizi ngoma droo huruma ya nini rafiki? ye akienda kwa binti kigori we unaelekea kwa kijana shabab!
najikutaga na ugonjwa kukunja mabint wadodogo yaani napenda akiwa amejaa njia panda ya kwenda ulaya..
kuna wakati najiuliza kwa nininapenda sana mabnint wembamba
"amejaa njia panda kwenda ulaya" ???
Taarifa za kitaalamu zinadai wanaumme tunapochukua dogodogo na kuachana na wale wa saizi yetu tunawasababishia kukataa tamaa ya kuzaa na hivyo kujikita kilaini kwenye MENOPAUSE.
Yabidi tuwe na huruma na wale wa rika letu na tuache kuwanyanyapaa na kuwaachia maumivu makali.
'Cradle snatchers' cause menopause, says biologist
![]()
Michael Douglas and Catherine Zeta Jones. Prof Rama Singh argues that the male preference for young mates has led to the menopause. Photograph: Jim Spellman/WireImage