Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,387
Sasa nchini Kenya katika siku za hivi karibuni kumetokea visa vya kustaajabisha sana......
Mwanamume mmoja alifikishwa mahakamani hapo jana baada ya kupatikana akifanya ngono na Kuku ambaye baadaye alifariki
Huku katika eneo lengine wanaume wanne wakifanya kitendo sawa na hicho na Punda baada ya kumfunga miguu yote.Punda huyo naye hakunusurika kwani alifariki baadaye.
Kwingineko mwanamume alitoroka uchi wa mnyama baada ya kupatikana akijamiiana na Mbuzi.
Vitendo hivi vimekuwa vikiongezeka tangu wanawake kukamatwa mjini Mombasa zaidi ya mwezi mmoja uliopita wakijamiiana na Mmbwa.
Matukio haya yamewashangaza wakenya wengi baadhi wakihoji dunia imekuwa nini?
Mwanamume mmoja alifikishwa mahakamani hapo jana baada ya kupatikana akifanya ngono na Kuku ambaye baadaye alifariki
Huku katika eneo lengine wanaume wanne wakifanya kitendo sawa na hicho na Punda baada ya kumfunga miguu yote.Punda huyo naye hakunusurika kwani alifariki baadaye.
Kwingineko mwanamume alitoroka uchi wa mnyama baada ya kupatikana akijamiiana na Mbuzi.
Vitendo hivi vimekuwa vikiongezeka tangu wanawake kukamatwa mjini Mombasa zaidi ya mwezi mmoja uliopita wakijamiiana na Mmbwa.
Matukio haya yamewashangaza wakenya wengi baadhi wakihoji dunia imekuwa nini?